Milion 7 napata Suzuki Jimny?

nez-o

Senior Member
Joined
Apr 13, 2019
Posts
181
Reaction score
178
Wakuu Nina milion Saba naweza pata Suzuki jimny used from Japan na je naweza kukakanyagia route ya mtwara mbeya?majibu tafadhali
 
Wakuu Nina milion Saba naweza pata Suzuki jimny used from Japan na je naweza kukakanyagia route ya mtwara mbeya?majibu tafadhali
Mmh sidhani ngoja nicheki price

Jr[emoji769]
 
Wakuu Nina milion Saba naweza pata Suzuki jimny used from Japan na je naweza kukakanyagia route ya mtwara mbeya?majibu tafadhali
Kiukweli kwa milioni saba hapana. Chini ya 12milioni sidhani kama utaweza kuinunua from Japan mpaka kutua mkononi mwako.

Hizo gari huwa ni zinauzwa ghali kidogo Japan, kwa sababu ya uchache wake sokoni na uimara wake kwenye rough road.

Suala la masafa marefu, hazina shida yoyote. Popote unakanyaga fresh.
 
Hizi gari ni imara sana ukiwa na hela ukanunua mpya ataendesha mpaka mjukuu wako
 
Mkuu mbona nimechek stock list ya beforwad zipo nyingi
 
Hizo gari ndogondogo za hovyo kimuonekano ila bei juuu. Kisa uimara na matumizi mazuri ya mafuta.

Nimeona wametoa toleo jipya unaweza kuifananisha na Jeep.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…