Soloma TV Online
Senior Member
- Jun 26, 2023
- 104
- 291
safiTimu ya soka ya Singida Fountaingate ya mkoani Singida imeingia mkataba na Shirika la Ndege la Precision Air la Tanzania kuwa Msafirishaji wake.
Mkataba huo umelenga pia katika kutoa punguza la bei pamoja na kutoa tiketi za bure bila kusahau viongozi wa timu hiyo wanaingia moja kwa moja kuwa Mabalozi wa Shirika hilo la Ndege.
Madelu anaupiga mwingiTimu ya soka ya Singida Fountaingate ya mkoani Singida imeingia mkataba na Shirika la Ndege la Precision Air la Tanzania kuwa Msafirishaji wake.
Mkataba huo umelenga pia katika kutoa punguza la bei pamoja na kutoa tiketi za bure bila kusahau viongozi wa timu hiyo wanaingia moja kwa moja kuwa Mabalozi wa Shirika hilo la Ndege.
Huu ni uropokaji au utoto?Sawa ni jambo jema kwao. Ingawa nao wanatakiwa kuwa makini, hasa kwenye zile safari za kwenda kucheza na Kagera Sugar.
Sawa ni jambo jema kwao. Ingawa nao wanatakiwa kuwa makini, hasa kwenye zile safari za kwenda kucheza na Kagera Sugar.
Umeanza tena kuwashwa washwa. Sijajua shida yako ni nini hasa.