Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unapandisha nyumba ya vyumba vinne bila finishing lakini unaweza kuishiHabari wakuu,
Naomba kusaidiwa mawazo kwa wale WAELEVU wa mambo ya ujenzi, hv 7M naweza kujenga ka'nyumba ka aina gan ka kuanzia maisha!!!
NB: kiwanja ninacho!!!!
Thanks
Niko paleee nimetulia nasubir mkuuNgoja waje
Shukran mkuu, ila nahitaji ka nyumban kakamilike niwaze mengine ata kama ni kadogoUnapandisha nyumba ya vyumba vinne bila finishing lakini unaweza kuishi
Thanks mkuu, Niko dar lengo langu nilikuwa nataka kibanda kikamilike kabisa niingie hata kama ni kadogo hakuna shida.For 7m mzee.hapo utaweza kupandisha nyumba mpaka lenta.ambayo ni kubwa tu mpaka koz tatu.laa piga msingi wa raman yako unayoitaka ndogo halalfu pandisha chumba kimoja chako juu funika bati ingia .inategemea na mkoa uliopo
Kuwa mvumilivu tu. Usijenge kinyumba kidogo sana. Bora ujenge kubwa hamia kwa jinsi ilivyo utamalizia pole pole.Niko paleee nimetulia nasubir mkuu
Shukran mkuu, ila nahitaji ka nyumban kakamilike niwaze mengine ata kama ni kadogo
Thanks mkuu, Niko dar lengo langu nilikuwa nataka kibanda kikamilike kabisa niingie hata kama ni kadogo hakuna shida.
Habari wakuu,
Naomba kusaidiwa mawazo kwa wale WAELEVU wa mambo ya ujenzi, hv 7M naweza kujenga ka'nyumba ka aina gan ka kuanzia maisha!
NB: kiwanja ninacho!!
Thanks
Habari wakuu,
Naomba kusaidiwa mawazo kwa wale WAELEVU wa mambo ya ujenzi, hv 7M naweza kujenga ka'nyumba ka aina gan ka kuanzia maisha!
NB: kiwanja ninacho!!
Thanks
Kwa hiyo kwa million 10 naweza jenga chumba sebule na toilet?Unapandisha nyumba ya vyumba vinne bila finishing lakini unaweza kuishi