hongera mkuu kwa wazo lako la maendeleo, kama wadau walivyoshauri hapo juu kukadiria gharama juu kwa juu inawezekana na hapo nakushauri andaa (15m na kuendelea) kiulingana na ain a ya finishing utakayoitaka. ila kwa 15m unahamia kibishi( utakuwa umeweka paa la bati za kawaida, umeweka drill za madirisha na milango ya nje, na sometime umemwaga zege ndani ya nyumba). ila ukitaka gharama halisi kabisa zenye variation kidogo unaweza ni pm, kwa kua ni kazi inayohitaji muda kidogo na hakuna mtu wa kukufanyia free.