Nikopeshe mimi baada ya miezi mitano nikupe m12. Wakati huo utakuwa unatafakari nini cha kufanya.
Seriously, niPM tufanye kazi.
Baada ya miezi 5 umrudishie 12m? Unataka kufanya biashara gani inayokulipa hvy na sisi tujaribu?
Ukiwa ndani ya field ni rahsi sana kucatch fursa. Yeye anipe hiyo hela aje kwenye eneo langu la kazi na ndo itakuwa collateral yangu. Nimeshindwa, anachukua mali yangu na nikitu kisichowezekana kushindwa kutoa return once nikiinvest 7M nauhakika wa kupata 40M ndani ya miezi mitano.
Duh! Kweni mimi nimesema nataka kumpa mtu pesa?why ukishindwa kutoa ushauli usiipotezee tu ukafanya yako? Asante ndugu Utafiti,nimepata mawazo yako
Hapo sasa umesema kiongozi,wabeeja sana nkoyi Kisima!
Duh! Kweni mimi nimesema nataka kumpa mtu pesa?why ukishindwa kutoa ushauli usiipotezee tu ukafanya yako? Asante ndugu Utafiti,nimepata mawazo yako
Hapo sasa umesema kiongozi,wabeeja sana nkoyi Kisima!
Kiongozi tukaribishane, biashara gani hiyo au nije pm?
sasa hivi hesabu ya taxi ni sh ngapi kwa wiki ?kama id yako ilivyo agiza carina fanya taxi baada ya miezi kadhaa pesa yako imerudi agiza nyingine.
No hiyo nayo ni biashara aliyokushauri kwani kila mwezi unamake 1M
Nenda Zanzibar chukua nguo nenda kauze pale Kariakoo, uza kwa jumla, kipindi hiki cha sikukuu kwa m7 unaweza kupata m1 au zaidi kama faida. Uje na feedbck