Down To Earth
JF-Expert Member
- Jul 8, 2011
- 21,940
- 16,643
Akafanye nini darasani? Mwache awekeze azalishe fedha. Nakushauri tafuta sehemu yenye watu wengi hapa Dar "watu wa pwani", nunua mashine ya kukamulia juisi ya miwa lipa kodi ya fremu piga mzigo, utaniambia.....nakushauri urudi kwanza darasani... Hizo pesa zitaishia kuliwa na wajanja kama hauna elimu ya entrepreneurship na finance...
Wanasema mali bila daftari huisha bila taarifa ya habari..
Akafanye nini darasani? Mwache awekeze azalishe fedha. Nakushauri tafuta sehemu yenye watu wengi hapa Dar "watu wa pwani", nunua mashine ya kukamulia juisi ya miwa lipa kodi ya fremu piga mzigo, utaniambia.....