Milipuko Jiji la Kampala na msemo wa Kiswahili "Mgema akinyolewa tembo..."

Milipuko Jiji la Kampala na msemo wa Kiswahili "Mgema akinyolewa tembo..."

Kichwamoto

JF-Expert Member
Joined
Jan 21, 2019
Posts
3,403
Reaction score
4,692
Banzukulu nawasalimu kwa jina la Mungu Baba.

Nianze moja kwa moja na maudhui, katika hali ya kushangaza Uganda hasa katika jiji la kampala kumetokea milipuko iliyopewa jina la milipuko ya magaidi iliosababisha vifo kadhaa na majeruhi katika makumi, katika siasa za kikanda ulinzi wa pamoja na tahadhari jumuishi na shirikishi pia ni muhimu. Kwa muktadha huu, je, kuna namna yoyote serikali yetu sikivu imetoa tahadhari ya aina yoyote?mathalani mikusanyiko na hadhari zake, mahimizo mfano. Reporting any suspects aidha kwa kuainisha sehemu hatarishi.

Wadau wa mastarehe, nyumba za bata, mahotel, casinos, majengo au ofisi za taasisi, mawizara etc, supermarkets zenye ubatabata mwingi, maofisi nyeti pendwa na maborn town na masharo na mapisi.

Bongo Dsm na Mabasi ya mwendokasi tumejipangaje, magari ya mikoani buses, lories etc, Bajaji, Boda, Makesi kibao ya kubambikwa na traffic police kwenye zebra na hasira zote kadha wa kadha na uhatarishi katika vituo vya police.

Kama jamii pamoja na serikali na matawi yake tumejipangaje kwa kinga na tahadhari ya dhati?

Kinga ni bora kuliko tiba.

Kuilinda nchi na usalama wetu ni wajibu msingi na jumuishi na iwe shirikishi nyakati zote.

Naomba kuwasilisha.
 
MSISAHAU NDUGU ZANGU"UGAIDI" HUU WA MBOWE AMBAO UNGEGHARIMU TSHS 600,000 NA BASTOLA MOJA YENYE RISASI 3 HAUKUWA DETECTED NA BALZI ZA UK WALA US HAWAKUTOA HATA WARNING...MBOWE NA MAKOMANDOO NI HATARI SANA
 
MSISAHAU NDUGU ZANGU"UGAIDI" HUU WA MBOWE AMBAO UNGEGHARIMU TSHS 600,000 NA BASTOLA MOJA YENYE RISASI 3 HAUKUWA DETECTED NA BALZI ZA UK WALA US HAWAKUTOA HATA WARNING...MBOWE NA MAKOMANDOO NI HATARI SANA
Na usisahau pia magaidi wetu walikua wamepanga eti kukata miti mabarabarani 😄😄, mizaha Sana.
 
MSISAHAU NDUGU ZANGU"UGAIDI" HUU WA MBOWE AMBAO UNGEGHARIMU TSHS 600,000 NA BASTOLA MOJA YENYE RISASI 3 HAUKUWA DETECTED NA BALZI ZA UK WALA US HAWAKUTOA HATA WARNING...MBOWE NA MAKOMANDOO NI HATARI SANA
NDIYO MAANA WANAOLEWA TU SASA HIVI HUKO JELA
 
Banzukulu nawasalimu kwa jina la Mungu Baba.

Nianze moja kwa moja na maudhui, katika hali ya kushangaza Uganda hasa katika jiji la kampala kumetokea milipuko iliyopewa jina la milipuko ya magaidi iliosababisha vifo kadhaa na majeruhi katika makumi, katika siasa za kikanda ulinzi wa pamoja na tahadhari jumuishi na shirikishi pia ni muhimu. Kwa muktadha huu, je, kuna namna yoyote serikali yetu sikivu imetoa tahadhari ya aina yoyote?mathalani mikusanyiko na hadhari zake, mahimizo mfano. Reporting any suspects aidha kwa kuainisha sehemu hatarishi.

Wadau wa mastarehe, nyumba za bata, mahotel, casinos, majengo au ofisi za taasisi, mawizara etc, supermarkets zenye ubatabata mwingi, maofisi nyeti pendwa na maborn town na masharo na mapisi.

Bongo Dsm na Mabasi ya mwendokasi tumejipangaje, magari ya mikoani buses, lories etc, Bajaji, Boda, Makesi kibao ya kubambikwa na traffic police kwenye zebra na hasira zote kadha wa kadha na uhatarishi katika vituo vya police.

Kama jamii pamoja na serikali na matawi yake tumejipangaje kwa kinga na tahadhari ya dhati?

Kinga ni bora kuliko tiba.

Kuilinda nchi na usalama wetu ni wajibu msingi na jumuishi na iwe shirikishi nyakati zote.

Naomba kuwasilisha.
Kwenye heading, nafikiri kuna msemo, ‘mgema akosifiwa, tembo’. au ‘Mwenzako akinyolewa, za kwako tia maji!’ Kama umezijumuisha hivi, Naomba mahakama isipokee kielelezo na imwone shahidi ni incompent!
 
NDIYO MAANA WANAOLEWA TU SASA HIVI HUKO JELA
Wewe mjinga, ‘magaidi’ ndo wanaoaga majambazi uchwara, kama yule mwenzako wa Kisongo ambaye wanamtengeneza mpaka anashindwa kutokea mahakamani, na akitokea anachechemea!
 
Banzukulu nawasalimu kwa jina la Mungu Baba.

Nianze moja kwa moja na maudhui, katika hali ya kushangaza Uganda hasa katika jiji la kampala kumetokea milipuko iliyopewa jina la milipuko ya magaidi iliosababisha vifo kadhaa na majeruhi katika makumi, katika siasa za kikanda ulinzi wa pamoja na tahadhari jumuishi na shirikishi pia ni muhimu. Kwa muktadha huu, je, kuna namna yoyote serikali yetu sikivu imetoa tahadhari ya aina yoyote?mathalani mikusanyiko na hadhari zake, mahimizo mfano. Reporting any suspects aidha kwa kuainisha sehemu hatarishi.

Wadau wa mastarehe, nyumba za bata, mahotel, casinos, majengo au ofisi za taasisi, mawizara etc, supermarkets zenye ubatabata mwingi, maofisi nyeti pendwa na maborn town na masharo na mapisi.

Bongo Dsm na Mabasi ya mwendokasi tumejipangaje, magari ya mikoani buses, lories etc, Bajaji, Boda, Makesi kibao ya kubambikwa na traffic police kwenye zebra na hasira zote kadha wa kadha na uhatarishi katika vituo vya police.

Kama jamii pamoja na serikali na matawi yake tumejipangaje kwa kinga na tahadhari ya dhati?

Kinga ni bora kuliko tiba.

Kuilinda nchi na usalama wetu ni wajibu msingi na jumuishi na iwe shirikishi nyakati zote.

Naomba kuwasilisha.
Mgema alinyolewa lini?
 
Back
Top Bottom