Analogia Malenga
JF-Expert Member
- Feb 24, 2012
- 5,108
- 10,191
Idadi ya watu wasiojulikana huenda wamejeruhiwa katika shambulio la gurunedi usiku wa Jumatatu katika mji mkuu wa kibiashara wa Bujumbura nchini Burundi.
Walioshuhudia tukio hilo wanasema milipuko miwili mikubwa ilisikika baada ya gurunedi mbili kulipuka katika kituo cha mabasi kilicho na shughuli nyingi, Damu ilionekana katika eneo la tukio.
Wanasema maafisa wa polisi walifika haraka katika eneo hilo.
Milipuko miwili zaidi iliripotiwa , moja katika mtaa maaarufu wa Bwiza ambako guruneti ilirusha katikakati ya wauza samaki.
Mashuhuda wanasema kuna watu huenda wamefariki na wengine wengi kujeruhiwa. Polisi hawajatioa tamko lolote kuhusiana na mashambulio hayo.
Hakuna kundi lolote lililojitangaza kuhusika shambulio hili lililotokea siku kadhaa baada ya Rais Evariste Ndayishimiye kusafiri New York ambako anatarajiwa kuhudhuria kikao cha 76 cha mkutano mkuu wa Umoja wa Mataifa.
Walioshuhudia tukio hilo wanasema milipuko miwili mikubwa ilisikika baada ya gurunedi mbili kulipuka katika kituo cha mabasi kilicho na shughuli nyingi, Damu ilionekana katika eneo la tukio.
Wanasema maafisa wa polisi walifika haraka katika eneo hilo.
Milipuko miwili zaidi iliripotiwa , moja katika mtaa maaarufu wa Bwiza ambako guruneti ilirusha katikakati ya wauza samaki.
Mashuhuda wanasema kuna watu huenda wamefariki na wengine wengi kujeruhiwa. Polisi hawajatioa tamko lolote kuhusiana na mashambulio hayo.
Hakuna kundi lolote lililojitangaza kuhusika shambulio hili lililotokea siku kadhaa baada ya Rais Evariste Ndayishimiye kusafiri New York ambako anatarajiwa kuhudhuria kikao cha 76 cha mkutano mkuu wa Umoja wa Mataifa.