Military Intelligence Coup: Kisa cha rubani aliyeiba na kutoroka na Ndege ya Kijeshi ya Iraq

Fisiem at work..[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
Nenda kaiibe wewe basi kama ni kazi rahisi.
We mjinga kweli kwani ndege yetu ilikuwa inatakiwa ikaibiwe?,ndege imenunuliwa kwa pesa za wananchi,huyo baba yako unayemuona ni mkombozi wako kaenda kuzifitinisha mpaka zimezuiliwa.nyumbu mmoja anakuja kuniambia nikaziibe. Muambie baba yako lissu yeye ndiye aliyeziwekea kimavi.
 
Makala nzuri asante kwa ku share na sisi. The Bold anapata wajukuu taratibu hahaha
 
Kila nchi inawekeza nguvu zake katika nyanja fulani kulingana na malengo na dira ya utawala.
Kwa sasa dira ya utawala uliopo mnaioma au mnasikia wanataka kuifanya Tanzania kuwa nchi ya viwanda.ili kufikia huko wameenza kuimalisha misingi ambayo ni biashara ya kuwanunua wanasiasa ili kufikia malengo ya nchi ya viwanda
 
Wakati wenzetu wanaiba ndege kuirejesha nchi mwao sisi upinzani tunaenda kuwachongea kwa wazungu wataifishe ndege zetu wenyewe.
General R
obert Mboma is one of The Mig Pilot
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…