Hawa jamaa hawanaga huruma kabisa
Na hawaogopi kufa yaaniyaan hao ukijichanganya tu wanakupa zote 100 hawarudishagi chenji hao
Hawa si ni medicπͺ Soldier kama soldier lazima ujue kumuokoa mwenzako vitaniπͺView attachment 2110011View attachment 2110012View attachment 2110013
Hand to hand combatπͺKuna wakati unakutana na adui ana kwa ana so inabidi ujue ngumi pia , mazoezi muhimuπͺView attachment 2110018View attachment 2110019View attachment 2110020View attachment 2110021
Artillery team hao[emoji91][emoji91][emoji91], ni kupokea coordinate na ku launch attack
Mwamba na duragnov
medic Ni soldier piaHawa si ni medic
Sem kuna wale ambao huserve with the tier one units,,, ni geniusesmedic Ni soldier pia