Bila shaka hao wanamgambo hata pushup hawazijui.Hahah naaam, na hapo wamevaa hivyo huku wanapigana na USA+NATO.
Hawana huruma wale...[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]ila moto wao sasa
Nilimsikia rais mmoja wa EA yule mwembamba mrefu akisema kinachoshinda vitani Ni upande ambao unakua na 'right cause', akasema watu wa hivyo kushindwa Ni nadra SanaBila shaka hao wanamgambo hata pushup hawazijui.
ππ Naam hapo tunasema kazi iendelee
mkuu Kwani Hiki ni kibuyu Cha kuwekea maji ya kunywa?Ngoja niuripue huu uzi!
View attachment 2085599
[emoji92][emoji95][emoji95][emoji95][emoji95][emoji95][emoji95][emoji95][emoji92]