Sio Xavi bwana, Van Babo kajifunga mwenyewe. Yaani kama mechi ya jana ya ManU, kaona goli la Barca liko mbali. Ibrahimovic amerudisha lakini. Mpira mzuri ile mbaya.
messi alitishia wakati wa kupiga penalti ndo maana wakampiga kadi ya njano halafu kapiga tena ndo kafungwa.penalti imepigwa baada ya xavi kuangushwa ndani ya penalti box