Tetesi: Millard Ayo Aacha kazi CloudsFM

Status
Not open for further replies.
Wivu Ni kidonda ukishiriki.............nda! Kwani nikiiga Kama anavyocheza mess Kuna ubaya gani? Si ndo ntakua bora
 
Uongo hamna kitu km icho na top 20 anatangaza mamy baby kitambo
 
Haters utawajua tu na mapovu yao[emoji36] [emoji36] Millard yuko juu miaka mia tuondolee chuki zako binafs hapa
 
Mondi sawa kakupigia demu wako hiyo inajulikana, je huyo kijana amekufanya nini hadi umchukie? Jamaa una roho mbaya hata kwenye mtandao! Duh!
Ana roho mbaya Sana na wivu usokuwa na msingi kuna watu wa kuwachukia lakin sio kwa Millard jaman, kwa lipi? Yule mkaka wa watu mstaarabu tu
 
Kama maslahi mazuri sioni tatizo kila mtu anatafuta penye maslahi mazuri.
 
wachawi wako wengi sana...
 
Kama ni kweli, safi sana life popote, mwanaume hatishiki na maisha.
 
Your key argument here is Brooklyn name kwenye capture ya Millard.

Pale kwenye picture captured area panaweza kuwa popote pale endapo utaiupload direct kwenye wall yako au ukitake a photo direct from your instagram app itaweka location name where the photo taken.

Naona hapo ndipo pamekuchanganya sio kama yeye ndio ameandika Brooklyn bali imejiandika automatically sababu ndipo capture location.
 
dougie masta wa insta naona umehamia huku
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…