Millard Ayo achafuliwa Instagram

Una RB? Je umeripoti kituo gani nishughulikie suala lako? Uje na vielelezo ili tumtie hatiani na kumkamata haraka sana. Hawezi toa huduma au kuhudumiwa asilipie au kudai na kutoa risiti akaachwa atambe mtaani
 
Swali la kizushi.Kwani Millard hawezi piga shoo za nje?Naye ni mwanadamu anaweza teleza jamani.Hii newz ni 50/50 inaweza kua kweli au sio kweli
 
Raha ya ubuyu ni kuweka mambo kweupe,huyo dada ni nani?
Halafu si nasikia Millard kaoa?
Wanaume bwana!
 
Watoto wa morogoro watata sana.sitaki kukumbuka kilichotaka kunitokea Bahati nzuri busara na Hekma zikatumika lasivyo ningeaibika mtu mzima.
Mhhhhh ni yepi tena hayo Sheikh [emoji86]
 
Raha ya ubuyu ni kuweka mambo kweupe,huyo dada ni nani?
Halafu si nasikia Millard kaoa?
Wanaume bwana!
Huruma kumuanika.... Ila watu wamefunguka sana. Ndio tabia yake jamaa kila anapoenda anakua na mtu wa kupitisha usiku
 
Tena huyu ni house girl kama liza kumpa mtoto uji
Sa akakosa wa kucheza nae kaamua kumchfua dogo Ayoo
 
KITU cha kawaida sana siku hizi ila buku kumi ndo mwisho wewe dada rizika bhana
 
Sio mkweli huyu kama ingekua kweli angewasiliana nae si namba walishapeana?ni wazi Ayo asingekubali aanikwe Insta au lengo lilikua kumchafua Millard?
 
Mbona mnamtetea millard ina maana yeye ni malaika!
Bora basi watetee hawa wake zetu,lakin unakuta jitu na ndevu zake eti Millard anasingiziwa,hawajui ni bora huyo jamaa yao anapopata skendo kama hizi?mana habari ya mjini ni kwamba jamaa anafuga joka lisilo na meno.
 
Hee nifa.... Upo? Nlikua nafatilia kwa karbu mtanange wa mange kwenye uzi wako.... Skukuona Jana... Vipi kwema?
Nipo mkuu,busy sana si unajua maisha magumu?
Enjoy mtanange...ndio raha ya JF [emoji6]
 
Hakuna ubaya ulofanyika walitaka kuniuzia kesi. Ha ha mzima nifah umepotea sana hapa jukwaani.
Dah pole sana mkuu,acheni mechi za mchangani...matokeo yake always huwa ni mabaya/aibu.

Mzima,nipo Mkuu.
Itabidi nitenge muda wa kuingia humu,kweli nimepotea sana.
 
Bora basi watetee hawa wake zetu,lakin unakuta jitu na ndevu zake eti Millard anasingiziwa,hawajui ni bora huyo jamaa yao anapopata skendo kama hizi?mana habari ya mjini ni kwamba jamaa anafuga joka lisilo na meno.

Inashangaza kwa kweli, huyo dada angesema kuwa jamaa ni joka la kibisa hakuna hata mtu mmoja angemtetea hapa!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…