Wewe anakupaga shilingi ngapi bibiee?Kweli penye miti hapana wajenz milard hanaga mamb hayo kama ingekua hivyo asingempa elfu kumi huo ni uwongo
Labda uanze ww kusema ulipewa ngapWewe anakupaga shilingi ngapi bibiee?
Ha ha sawa.usipotee sana aisee.Dah pole sana mkuu,acheni mechi za mchangani...matokeo yake always huwa ni mabaya/aibu.
Mzima,nipo Mkuu.
Itabidi nitenge muda wa kuingia humu,kweli nimepotea sana.
Hiyo account yake ya insta ili exist kwa dakika chache tuJina gan anatumia huyu manzi kwenye insta?
😀😀😀😀😀 staki ujinga mimiAisee! Instagram community! Lakini kwanini tunamuona huyo dada muongo? Kwamba Millard Ayo hawezi kupiga mechi za mchangani; au?! Mechi hizi hizi ambazo zinapigwa na Masheikh, Maaskofu, Mawaziri na wengine kibao zionekane haiwezekani kwa Millard? Au hawezi kutoa advance kisha akaingia mitini?!
Ngapu upo kweli? Kimya sana...Ya kweli hayo au uzushi tu?
Ngabu upo kweli? Kimya sana...
Ngapu upo kweli? Kimya sana...
bahati nzuri wewe ndio dada yangu....!Kumbe unajua sabab si kwangu tu hata kwa yule Dada yako pia hamkopi...
Nashkuru na mie kaka nilie nae ni mmoja tu ndo wewe ambae familia imekutenga kwa USHOGA.bahati nzuri wewe ndio dada yangu....!
Sio kweli wanamsingizia.