Aisee...! Hapo ndipo huwa najivunia tabia yangu mbaya niliyokuwa nayo ya utoro... kila mmoja anakudharau; mwisho wa siku unakuta akina Bwana John Kisomi wanahangaika kufuata form kwa ajili ya ku reseat akina Karume Kenge wakiendelea kujivuta mbele ya safari... aisee usije ukashindana na mtu anayetafuta C hata siku moja... hana stress huyu kama akina Bwana John Kisomi wanaotafuta A flats!hahaaa mi pia nakumbuka ticha kuna mti alimwambia atapata A english kuja tahamaki ana D
Ni hatari,Millard Ayo kwa hiyo list usije ukauza mechi kama shigongo,Kimei na Machache wamepita!!!
Kabla ya Shigongo bosi Kimei ashachafua chup...i. na baada ya shigongo AY akachafua, akaja Mwana Fa akachafua ndo naye Baba wawili akaja kutumbukiza Gov.i lake. MwanaFa aka-mind kwelikweli ndo kwa hasira akaingia studio ku-download song la BADO NIPONIPO KWANZA... mwanafa, unaoa lini?? Bado niponipo kwanza... wanamegwa na vibabu kwa tamaa, wanaendekeza njaa..sijui ni dhiki...
Duh kama nimesahau kidogo mistari hapo ila mlengwa alikua Kidoti.
Milard hivi mmepima kabla ya kula mbunye wa huyu LEGENDALY wa kupigwa nyapu hapa town?
Umemsahau hashim thabeet..
Tena jojo alijipendekeza mwenyewe mlimani city...
Boss kimei kwa siku anato.mba mamiss wawili kwenye jiofisi lake.(nlishawauzia namba ya kimei madada kibao wanaitafuta ajira provided uwe na umbo la kimiss)
daa list ya jojo mbaya sana mtu kama shigongo akiwa kwenye noah yake miaka hiyo yeye kila mwanamke atakayemuona anamuita.
Mzee machache kumbe ana govi..
Mkuu, kwa hawa mastar naimani mahalage ya mbeya ni magumu! !!
Mzee baba wawili kalihifadhi hilo kwa manufaa ya kibiashara. Hahahaha....
Kabla ya Shigongo bosi Kimei ashachafua chup...i. na baada ya shigongo AY akachafua, akaja Mwana Fa akachafua ndo naye Baba wawili akaja kutumbukiza Gov.i lake. MwanaFa aka-mind kwelikweli ndo kwa hasira akaingia studio ku-download song la BADO NIPONIPO KWANZA... mwanafa, unaoa lini?? Bado niponipo kwanza... wanamegwa na vibabu kwa tamaa, wanaendekeza njaa..sijui ni dhiki...
Duh kama nimesahau kidogo mistari hapo ila mlengwa alikua Kidoti.
Milard hivi mmepima kabla ya kula mbunye wa huyu LEGENDALY wa kupigwa nyapu hapa town?
Pitia comments za wadau!!nadhani ulitaka mpaka picha machine ikiingia kunako!na hao ni watu maarufu,wameachwa lecturers wa UD na watu wa kawaida,!Zingine ni hear says tu. Hebu thibitisha!
Ha ha tunasemaga ikiingia kichwa lazima uisikie..
Sasa govi lina kichwa kweli?
Wakawaida kwakua unamjua kupitia picha tu..jokate ni binti wa kingoni msomi mzuri na mrembo..utakua unakosea sana kumfananosha Jo na yule mwenye makalio yanayodondoka anaeshindia bia za Serengeti triple 7..
Kama unataka kujua raha ya g.ov.i uliza Makabila yasiyotahiri! Don't jump to conclusion.