Ok.
itabidi nijaribu nione hiyo raha.
vipi we unalo mkuu?
mkuu kwani domo hana hadhi kiasi hicho? duhK ikishapitiwa na domo inashuka thamani, sishangai
Kabla ya Shigongo bosi Kimei ashachafua chup...i. na baada ya shigongo AY akachafua, akaja Mwana Fa akachafua ndo naye Baba wawili akaja kutumbukiza Gov.i lake. MwanaFa aka-mind kwelikweli ndo kwa hasira akaingia studio ku-download song la BADO NIPONIPO KWANZA... mwanafa, unaoa lini?? Bado niponipo kwanza... wanamegwa na vibabu kwa tamaa, wanaendekeza njaa..sijui ni dhiki...
Duh kama nimesahau kidogo mistari hapo ila mlengwa alikua Kidoti.
Milard hivi mmepima kabla ya kula mbunye wa huyu LEGENDALY wa kupigwa nyapu hapa town?
Kabla ya Shigongo bosi Kimei ashachafua chup...i. na baada ya shigongo AY akachafua, akaja Mwana Fa akachafua ndo naye Baba wawili akaja kutumbukiza Gov.i lake. MwanaFa aka-mind kwelikweli ndo kwa hasira akaingia studio ku-download song la BADO NIPONIPO KWANZA... mwanafa, unaoa lini?? Bado niponipo kwanza... wanamegwa na vibabu kwa tamaa, wanaendekeza njaa..sijui ni dhiki...
Duh kama nimesahau kidogo mistari hapo ila mlengwa alikua Kidoti.
Milard hivi mmepima kabla ya kula mbunye wa huyu LEGENDALY wa kupigwa nyapu hapa town?
Kabisa, kanatafuta KIKI, kakilala na muheshimiwa kanajuwa jina litakua, na kwa sisi wanaume hatuna budi kukapa kanachotaka KIKI ya kibabe, kakienda kasimulie kalivyogeuza kama samaki..ni kazuri kwa kukalamba lamba ila kuoa ni majanga.Ni mke wa chama letu ila kama hauna wivu jimilikishe
millard kwebda kwa huyu kimada ni kujidhalilishaFirst of all Joketi wa kawaida kupita maelezo!
Second one kama ni kweli amesign such a cotract/endorsement hakyanani hatutalala usingizi mnono kwani kelele zitakuwa kila sehemu
Kuna mtu alijinunulia BMW ikawa ni heka heka itakuwa 8 bil
Ha ha ha!!Kiukweli jojo ni mzuri bwana,plus shule ndo kabsaaa!!Anajituma na ni mchapakazi,sema tatizo anagawa kwa rika zote,kwenye ufuska ndo atulie tu,everybody has her/his past,zaidi nawatakia mafanikio mema!!
Jameni,jameni,kwani penyee apo kili mtu si ana chake!SONGEA ni kama kawa, penyee apa mi kun'nyimi mtu kitu wakati kipo, penyee apo vibaya...
Jameni,jameni,kwani penyee apo kili mtu si ana chake!
Kunyimi ni vibayo. Mpi tu mwenzako akiombi si kipo? Siku moja nilienda bombi nyumbi hii, nikakuta watu wakiselemuki madogoli, ni mwendo wa kupeana tu.