Nukta5
JF-Expert Member
- Jun 7, 2014
- 1,182
- 1,288
Kuna msemo wa kinyiramba unasema Hard work pays, hii imethibitishwa na MD wa clouds fm kwa kutania na kusema Millard Ayo amempita boss wake mshahara kwa kumaanisha Millard ni.kati ya watangazaji wanaolipwa mshahara mzuri kwenye tasnia ya habari na hii inatokana na juhudi yake ya kufanya kazi. Nakumbuka kipindi kile Kusaga alimpa motivation ya kutembelea Dubai baada ya kupokea tuzo ya mtangazaji bora kwa mwaka ule na bado anazidi kujituma kwa kupata endosment za kutosha kama vodacom, GSM na nyinginezo. Mungu azidi kukuongoza na wengine tupate vingi vya kuiga.