Kisu Cha Ngariba
JF-Expert Member
- Jun 21, 2016
- 22,135
- 48,827
Millard Ayo anaweza kuwa mtanzania wa pili baada ya Mwl Nyerere kwenda Marekani kwenye course ya International Visitor Leadership Program mwaka 1960.
Course hii inatolewa kwa International leaders kwenda Marekani kujifunza kuhusu uchumi, siasa, jamii na tamaduni za Marekani.
Course hii iliyochini ya ofisi ya Rais wa Marekani, nafasi zake hutolewa na balozi zake duniani kote lakini kwa watu maalum wanaonekana kuwa watakua viongozi wa baadae au wa sasa.
Hawa ni baadhi ya viongozi mashuhuri waliopata nafasi ya kusoma Course IVLPView attachment 1051636
Course hii inatolewa kwa International leaders kwenda Marekani kujifunza kuhusu uchumi, siasa, jamii na tamaduni za Marekani.
Course hii iliyochini ya ofisi ya Rais wa Marekani, nafasi zake hutolewa na balozi zake duniani kote lakini kwa watu maalum wanaonekana kuwa watakua viongozi wa baadae au wa sasa.
Hawa ni baadhi ya viongozi mashuhuri waliopata nafasi ya kusoma Course IVLPView attachment 1051636