Kisu Cha Ngariba
JF-Expert Member
- Jun 21, 2016
- 22,135
- 48,827
mwaka jana nina friend yangu anaitwa angel .... alipelekwa na us embassy hiyo course.. ni mdada tu anauza mchele wake safi..
mtu yeyote ukiwa unajituma us wanakuendeleza.. wakiona una potential..
us wanapenda sana vijana wawe na vimiradi vyao binafsi... hata kina mike wa jamiiforums washaenda hizi
Kwa hiyo jamaa kusema ayo ni mtanzania wa 2 ni anatudanganyamwaka jana nina friend yangu anaitwa angel .... alipelekwa na us embassy hiyo course.. ni mdada tu anauza mchele wake safi..
mtu yeyote ukiwa unajituma us wanakuendeleza.. wakiona una potential..
us wanapenda sana vijana wawe na vimiradi vyao binafsi... hata kina mike wa jamiiforums washaenda hizi
Haaahaa. Afu nadhan millard ndo aliekuwa wa kwanza kumpa huyu mzee kiki
Okk wamekusikia, naona wanaelekea ikulu now.US Embassy please, kama mnapitia comments zetu humu tunaomba mumpeleke na huyu John. Tunaomba please and please.
Hata mwaka huu hayuko mwenyewe, wala sio wa pili baada ya NyerereMillard Ayo anaweza kuwa mtanzania wa pili baada ya Mwl Nyerere kwenda Marekani kwenye course ya International Visitor Leadership Program mwaka 1960.
Course hii inatolewa kwa International leaders kwenda Marekani kujifunza kuhusu uchumi, siasa, jamii na tamaduni za Marekani.
Course hii iliyochini ya ofisi ya Rais wa Marekani, nafasi zake hutolewa na balozi zake duniani kote lakini kwa watu maalum wanaonekana kuwa watakua viongozi wa baadae au wa sasa.View attachment 1051629
Hawa ni baadhi ya viongozi mashuhuri waliopata nafasi ya kusoma Course IVLPView attachment 1051636
Wasimsahau na Viatu vya samakiUS Embassy please, kama mnapitia comments zetu humu tunaomba mumpeleke na huyu John. Tunaomba please and please.
Mkuu unamaanisha john malecela??US Embassy please, kama mnapitia comments zetu humu tunaomba mumpeleke na huyu John. Tunaomba please and please.
Kajamaa nahisi kanavuta faranga toka kwa yule rc, coz kila siku ukiingia blog ya chalii lazima umkute amempaisha.