Tetesi: Millard Àyo kuna magroup ya wasap ya ngono yanatumia jina lako

Tetesi: Millard Àyo kuna magroup ya wasap ya ngono yanatumia jina lako

Superbug

JF-Expert Member
Joined
Jan 31, 2018
Posts
13,864
Reaction score
35,079
Millard Ayo wewe ni kijana mbunifu na mwenye kuheshimika na jamii lakini kuwa makini kuna magroup ya whasap ya video za ngono na picha za ngono yanatumia brand yako ya millard ayo sasa je ni kweli ni wewe kama hujabariki hayo magroup plz jitenge nayo yanakuharibia brand yako !!

Nimimi fan wako superbug !!!!
 
Millard Ayo wewe ni kijana mbunifu na mwenye kuheshimika na jamii lakini kuwa makini kuna magroup ya whasap ya video za ngono na picha za ngono yanatumia brand yako ya millard ayo sasa je ni kweli ni wewe kama hujabariki hayo magroup plz jitenge nayo yanakuharibia brand yako !!

Nimimi fan wako superbug !!!!
Ajitenge vp? Atajuaje kuna magroup hayo? Bora ingekua facebook, insta au twitter angeona. Whatsaap mkuu???
 
Ajitenge vp? Atajuaje kuna magroup hayo? Bora ingekua facebook, insta au twitter angeona. Whatsaap mkuu???
Atoe tamko kwenye media yake kuyakana magroup ya ngono ya whasap yanayotumia jina lake na picha yake simpo tu.
 
Kama yupo humu atakua amekuelewa
 
Atoe tamko kwenye media yake kuyakana magroup ya ngono ya whasap yanayotumia jina lake na picha yake simpo tu.
Hiyo ishu minor sana kuanza kudeal nayo yeye, maana yeyote anaweza akaanzisha group akaliita superbug muda na wakati wowote na wewe huwezi kujua km hujapatiwa taarifa na mtu, pia unaweza kupoteza muda wako kudeal na ishu km hizo utachelewa kufanya mambo yako
 
Back
Top Bottom