Millard Ayo: Nchi yetu ni masikini sana, sisapoti chama chochote

Msulibasi

JF-Expert Member
Joined
Dec 2, 2014
Posts
5,947
Reaction score
7,939
Ni kijana mwenye mawazo mapana sana japo umri si mkubwa sana , anasema siwezi kuwa na mapenzi ya chama ikiwa nchi ni masikini sana. ''Nimebahatika kwenda nchi tofauti nchi yetu ni masikini sana nitasupport mgombea yeyote atakayenishawishi kuwa na uwezo wa kuleta maendeleo.'' alisema.

Nilikuwa sikufikiri angaliweza kujibu ki-ufasaha vile kwa jinsi mtangazaji alivokuwa aki-press ili Ayo ataje chama specific na mgombae specific.
 
Huyo dogo ni chadema damu,ameona Nassary mambo aliyo yafanya kwa muda mfupi sio mchezo.amepeleka maji na umeme makiba,samari,kwa ugoro, karangai na ngarenanyuki kitu ambacho maccm yameshndwa kwa miaka 50
 
Thats why mapnzi yngu hayawez kuisha kwa millard,he is my favorite cerebrity kwa Tz, ameongea point sana cas' sina cha kuongezea hapo
 
OMG educate yourselves before opening up your pie holes.
 
Ok, whats the big deal. He only said what most of us are thinking!!!! I feel the same way.
 
Millard ana akili nyingii.

I like him.
 
Huyo dogo ni chadema damu,ameona Nassary mambo aliyo yafanya kwa muda mfupi sio mchezo.amepeleka maji na umeme makiba,samari,kwa ugoro, karangai na ngarenanyuki kitu ambacho maccm yameshndwa kwa miaka 50

Japo mimi ni CHADEMA ila Nassary hajaleta maji Ngarenanyuki!
Ngarenanyuki maji yaliletwa kabla Nassari hajawa mbunge though kuna mambo mengi amefanya!
 
Huyo dogo ni chadema damu,ameona Nassary mambo aliyo yafanya kwa muda mfupi sio mchezo.amepeleka maji na umeme makiba,samari,kwa ugoro, karangai na ngarenanyuki kitu ambacho maccm yameshndwa kwa miaka 50

Acha kuongea pumba elimu haijakusaidia Nassari ajawahi kutoa ela mfukoni kutoa umeme mkadanganye wapumbavu wenzenu. ..umeme umeletwa na serikali kuptia mpango wa umeme vijijin REA chini ya Udhamini wa serikali ya marekan kuptia mpango wa Power the Afrca kupitia MILLENIUM CHALLENGE ACCOUNT. .copy kawaeleze na wenzako ungetuambia ata waziri muhongo kama msmamizi mkuu tungekuelewa
 
Mnawaamin mpaka kina milad ayo polen elimu yake kichwan haisomeki ngoja muswada wa habari maccm waupitishe watangazaji wote Lazima wawe na degree
 
Huyo dogo ni chadema damu,ameona Nassary mambo aliyo yafanya kwa muda mfupi sio mchezo.amepeleka maji na umeme makiba,samari,kwa ugoro, karangai na ngarenanyuki kitu ambacho maccm yameshndwa kwa miaka 50

Usiandike kwa sababu una bundle. Huna facts kaa kimya
 
Huyo dogo ni chadema damu,ameona Nassary mambo aliyo yafanya kwa muda mfupi sio mchezo.amepeleka maji na umeme makiba,samari,kwa ugoro, karangai na ngarenanyuki kitu ambacho maccm yameshndwa kwa miaka 50

Sasa kati ya millard na wewe nani mungo? Kasema hana chama wala hashabikii, wewe unatuambia ni chadema damu, au wewe Ni mkewe? Sema tujue
 
Mnawaamin mpaka kina milad ayo polen elimu yake kichwan haisomeki ngoja muswada wa habari maccm waupitishe watangazaji wote Lazima wawe na degree

Mwakipesile umenikumbusha katuni moja iliyokuwa inchorwa kwenye gazeti moja ikionyesha mtu mwenye mtu mwenye minywele mingi kifuani hadi tumboni na jina lake kama lako. Hivi elimu ya milard ayo na mawazo yake vinakukera nini hadi uandike kiwewe badala ya hoja? Jipange.
 
mi nafikiri umeme umepelekwa na wananchi wenyewe, hela tunazokatwa sasahivi watumia umeme na mafuta utasemaje serikali ndio wamepeleka? au wewe ni mmoja wa watu wanaoamini maendeleo yakifanyika kwenye jimbo lenye mbunge wa upinzani ni serikali ndio imepeleka ila yakifanyika kwenye jimbo la mbunge wa ccm basi mbunge husika ndio amepeleka
 
Nae asitundanganye hapa kwan nani ajui yuko kwa Team January Makamba.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…