LICHADI
JF-Expert Member
- Feb 4, 2015
- 4,491
- 12,560
Kwa muda mrefu nimekuwa nikimfuatilia huyu kijana na kweli amekuwa akivutia watu wengi kutokana na kipaji chake cha utangazaji, na millard ayo ametoka mbali sana hadi leo kufikia hatua kubwa aliyofikia
Kitu ambacho nimekiona na kama huyu kijana asipo badilika atapoteza mashabiki ni kutokana na kuendeshwa na clouds media hata kwenye media zake binafsi anazozimiliki, ikumbukwe kuwa Millard ayo anamiliki blog yake mwenyewe na Ayo tz, pia ana studio yake binafsi ya kisasa ambayo anamiliki yeye mwenyewe
Kinachomuharibia huyu kijana ni kitendo cha kutojiwekea masharti yake binafsi katika blog yake na ayo tv, Millard ayo amekuwa akiendeshwa na Clouds media hata kwenye kazi zake binafsi ambazo hazitakiwi kuingiliwa na clouds
Kwa mda mrefu imezoeleka kuwa clouds media ikiwa na mgogoro na mtu yoyote awe msanii au mtu binafsi basi millard nae amekuwa akifwata mkumbo na kuingiza migogoro hiyo kwenye media zake binafsi ambazo zina misingi yake isiyohitaji kuingiliwa
Tumeshuhudia mara nyingi clouds media inapojiingiza kwenye migogoro ambayo inaanzishwa na Ruge millard nae amekuwa akifwata mkumbo na kuliingiza hilo bifu hadi kwenye kazi zake binafsi kitu ambacho kinaweza kumuharibia kazi zake na kumpotezea mashabiki wengi wanaofuatilia blog yake na Ayo tv
USHAURI
mdogo wangu Millard napenda kukushauri tu ulipotoka ni mbali hadi hapo ulipofika, ni vyema ujijengee misingi yako kwenye media zako binafsi pasipo kuingiliwa na mtu yoyote la sivyo utajikuta unaendeshwa kijinga na kujikuta unapotea, Usiingilie migogoro ya clouds media ukachanganya na kwenye kazi zako binafsi utapotea
Zijenge Ayo tv na Ayo blog ziwe na misingi yake isiyoingiliwa na mtu yoyote, kama clouds wana bifu na mtu mwingine we achana nao, utakapokuwa kwenye amplifaya fwata masharti yao na utakaporudi kwenye ofisi yako binafsi na wewe uwe na misingi yako binafsi isiyo ingiliwa la sivyo utapoteza umaarufu kwani kinachokupa pesa nyingi ni views nyingi kwenye blog yako na ayo tv on youtube
Jijengee kujiamini ikiwezekana ni heri uachane na hao clouds ili uwe huru kabisa kwani now huna cha kupoteza clouds kwa hatua uliyofikia vinginevyo hao hao clouds watakuharibia kazi zako binafsi
Nawasilisha
Kitu ambacho nimekiona na kama huyu kijana asipo badilika atapoteza mashabiki ni kutokana na kuendeshwa na clouds media hata kwenye media zake binafsi anazozimiliki, ikumbukwe kuwa Millard ayo anamiliki blog yake mwenyewe na Ayo tz, pia ana studio yake binafsi ya kisasa ambayo anamiliki yeye mwenyewe
Kinachomuharibia huyu kijana ni kitendo cha kutojiwekea masharti yake binafsi katika blog yake na ayo tv, Millard ayo amekuwa akiendeshwa na Clouds media hata kwenye kazi zake binafsi ambazo hazitakiwi kuingiliwa na clouds
Kwa mda mrefu imezoeleka kuwa clouds media ikiwa na mgogoro na mtu yoyote awe msanii au mtu binafsi basi millard nae amekuwa akifwata mkumbo na kuingiza migogoro hiyo kwenye media zake binafsi ambazo zina misingi yake isiyohitaji kuingiliwa
Tumeshuhudia mara nyingi clouds media inapojiingiza kwenye migogoro ambayo inaanzishwa na Ruge millard nae amekuwa akifwata mkumbo na kuliingiza hilo bifu hadi kwenye kazi zake binafsi kitu ambacho kinaweza kumuharibia kazi zake na kumpotezea mashabiki wengi wanaofuatilia blog yake na Ayo tv
USHAURI
mdogo wangu Millard napenda kukushauri tu ulipotoka ni mbali hadi hapo ulipofika, ni vyema ujijengee misingi yako kwenye media zako binafsi pasipo kuingiliwa na mtu yoyote la sivyo utajikuta unaendeshwa kijinga na kujikuta unapotea, Usiingilie migogoro ya clouds media ukachanganya na kwenye kazi zako binafsi utapotea
Zijenge Ayo tv na Ayo blog ziwe na misingi yake isiyoingiliwa na mtu yoyote, kama clouds wana bifu na mtu mwingine we achana nao, utakapokuwa kwenye amplifaya fwata masharti yao na utakaporudi kwenye ofisi yako binafsi na wewe uwe na misingi yako binafsi isiyo ingiliwa la sivyo utapoteza umaarufu kwani kinachokupa pesa nyingi ni views nyingi kwenye blog yako na ayo tv on youtube
Jijengee kujiamini ikiwezekana ni heri uachane na hao clouds ili uwe huru kabisa kwani now huna cha kupoteza clouds kwa hatua uliyofikia vinginevyo hao hao clouds watakuharibia kazi zako binafsi
Nawasilisha