Millard Ayo vs B 12

chamng

Member
Joined
Aug 21, 2012
Posts
30
Reaction score
10
haya ni majembe Tanzania kwenye tasnia ya uandishi wa habar ...je unampa nan shavu kat yao???
 
Habari gani wamesha andika?
Naomba japo dondoo za habari walizo andika!
 
tatizo vipindi wanavyovifanya vipo tofauti kidogo, B12 anasikilizwa sana na vijana wakati Millardayo anasikilizwa na watu wa lika zote
 
Sijawi kuona habari walizoandika au kusikia
 
haya ni majembe Tanzania kwenye tasnia ya uandishi wa habar ...je unampa nan shavu kat yao???

nimeelewa hapo tu...

haswa b12 ni jembe na mpini wake naujua...simo!
 
Namkubali sana millard ayi,ni kijana mbunifu kuanzia redioni na website yake,millardayo.com

Sent from my BlackBerry 9800 using JamiiForums
 
Hao ni radio presenters amabao wamepatkana kuptia presenters star search sasa huo uandishi wa habari sijui wameujulia lini?
 
yani mmebishana mtaani mkashndana ukaamua ulete hapa...
 
Hao ni radio presenters amabao wamepatkana kuptia presenters star search sasa huo uandishi wa habari sijui wameujulia lini?

Nani kati yao aliyepatikana kwa presenter search?
Acha kukariri
 
b12 wakat anapatkana nlkuwepo pale bilcanass

si kweli...b 12 alianza tasnia ya utangazaji akiwa arusha chini ya kapten gadner g habash aliekuwa mkurugenzi katika kituo cha matangazo ya kibiashara cha clouds. kapten ndiye aliemintroduce # kumi nambili kwenye ramani ya utangazaji
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…