beautifulonyinye
JF-Expert Member
- Mar 16, 2015
- 728
- 481
Kweli kabisa mkuu yaani ameniinspire sanahuyu kijana hustle zake zinaonekana wazi kabisa from bottom hadi alipo hapo, kuna watu ukitaka kuwa inspired nao hapa bongo huwezi acha kumtaja millard pamoja na Diamond, jamaa tumewaona since wanatoka hadi leo so hii inaweza kukupa nguvu ata kama ulikata tamaa na maisha
Sana mkuu na wala hanaga makuu sio MTU wa sifaGodbless Millad Ayo. Kijana mbunifu,mchapakazi, hana maneno na mtu
[emoji23] [emoji23] [emoji23] kweli mkuu hawakosagi hao , japo Freemason IPO lakini Millard ni juhudi zake mwenyewe na zinaonekanaNgoja wafike wazee wa huyo ni Freemason.
Sana mkuu Mimi imenigusa huyu kaka Ana roho ya pekeee SanaHii ni inspiration kubwa sana. Big up sana Millard Ayo
ha ha haNgoja wafike wazee wa huyo ni Freemason.
Jina la Bwana libarikiwe sanaHabari wakuu
Millard Ayo amepost picha yake kipindi bado anaanza maisha kusema ukweli imenigusa Sana na ni mfano wa kuigwa anakumbuka alipotoka na anatuonyesha sisi vijana kwamba mafanikio hayaji kirahisi lazime tupambane. Big up Millard Ayo Mtu wangu wa nguvu[/IMG]
Ila na yeye sometime aache undorobo,anashindwa kuripoti habari za jide kisa kazinguana na boss wake! umakini wake hautokua na maana km ataendelea na undezi huu!!..... by the hongera zake sana Ayo.Godbless Millad Ayo. Kijana mbunifu,mchapakazi, hana maneno na mtu
Sasa huyo Jide ndiyo kashika baraka za Millard?Ila na yeye sometime aache undorobo,anashindwa kuripoti habari za jide kisa kazinguana na boss wake! umakini wake hautokua na maana km ataendelea na undezi huu!!..... by the hongera zake sana Ayo.
Nampenda sana mtu wa nguvu Millard Ayo na kiukweli ametoka mbali ila kakaza cha muhimu ni kutokukata tamaa
Ila na yeye sometime aache undorobo,anashindwa kuripoti habari za jide kisa kazinguana na boss wake! umakini wake hautokua na maana km ataendelea na undezi huu!!..... by the hongera zake sana Ayo.
Ila na yeye sometime aache undorobo,anashindwa kuripoti habari za jide kisa kazinguana na boss wake! umakini wake hautokua na maana km ataendelea na undezi huu!!..... by the hongera zake sana Ayo.