SirAlfred006
JF-Expert Member
- Sep 21, 2020
- 517
- 1,243
Labda ya kichina na sio JapanHiyo Honda Ace CB125 si Chini ya 3M Mkuu
Naomba wasifu wake kidogo
Naomba wasifu wake kidogo
Asante, injini yake ni cc 125 au cc150?
125Asante, injini yake ni cc 125 au cc150?
Hizo za japan ni sh ngapi mkuuLabda ya kichina na sio Japan
Kweli hizo Honda ni copy,sijawahi kuona Honda inauzwa mil 2.2Hio kopi ya kichina ni 2.5M... Soon boxer na TVs watapangiwa majukumu mengine 🤣
Hio kopi ya kichina ni 2.5M... Soon boxer na TVs watapangiwa majukumu mengine [emoji1787]
Hakunaga pikipiki ya kijapani OG ya chini ya million 5Kweli hizo Honda ni copy,sijawahi kuona Honda inauzwa mil 2.2
🤣🤣🤣🤣🤣 Naskia hii honda ina save mno gharama za wese na ni himilivu kwenye service.Tayari boksa aliringa mno naona wajep wameona kutotaka mazoea
Tvs na boxer watafute pakukimbilia hii ndio raha ya biashara huria.Hakunaga pikipiki ya kijapani OG ya chini ya million 5
Kitumbua kimeingia mchanga wataacha kuringa,kwenye speed,durability,oil consumption hakuna anaemfikia HondaTayari boksa aliringa mno naona wajep wameona kutotaka mazoea