Mim limbukeni mgeni ndani ya jf naomba kujuzwa

Mim limbukeni mgeni ndani ya jf naomba kujuzwa

Joined
Aug 19, 2018
Posts
14
Reaction score
5
kama nilivyojitambulisha hapo juu mim nilimbukeni tena limbukeni wa kiwango cha juu zaidi, na katika maswala mazima ya mitandao ya kijamii ulimbukeni wangu umetukuka zaidi ya ukuu wa muadhama polycarp kardinali pengo.Nachoomba Kwenu enyi watabe ,Naam enyi wajuzi na wakongwe wa mtandao huu pendwa ni kujuzwa kwa kina na nidadafuliwe kwa undani na weledi mkuu mambo matamu na muhimu nitakayoyapata hapa baada yakufanikiwa kujiunga nanyi leo..JE uwezekano wakupata papuchi za mdebwedo kama kule badoo upo?kama upo nasema zijiandae zafwaa maana nimeingia kipanga ama shetwani wa papuchi..naomba kuwasilisha.!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Izi Id zenu mnakuta mnazo km sita.

Hii unaongea ujinga ukijua wanawake watakua makini.. Lkn Nyingine unaongea yamaana sana na unawapata sanasana.

Ndio maana umeongea kwa kujiamin !!

Anyway, kwenye miti mingi hapakosi wajenzi .....

Nilichojifunza, Humu kila mtu analake .
 
kama nilivyojitambulisha hapo juu mim nilimbukeni tena limbukeni wa kiwango cha juu zaidi, na katika maswala mazima ya mitandao ya kijamii ulimbukeni wangu umetukuka zaidi ya ukuu wa muadhama polycarp kardinali pengo.Nachoomba Kwenu enyi watabe ,Naam enyi wajuzi na wakongwe wa mtandao huu pendwa ni kujuzwa kwa kina na nidadafuliwe kwa undani na weledi mkuu mambo matamu na muhimu nitakayoyapata hapa baada yakufanikiwa kujiunga nanyi leo..JE uwezekano wakupata papuchi za mdebwedo kama kule badoo upo?kama upo nasema zijiandae zafwaa maana nimeingia kipanga ama shetwani wa papuchi..naomba kuwasilisha.!

Sent using Jamii Forums mobile app
Taja ID yako ya zaman

Sent using Jamii Forums mobile app
 
kama nilivyojitambulisha hapo juu mim nilimbukeni tena limbukeni wa kiwango cha juu zaidi, na katika maswala mazima ya mitandao ya kijamii ulimbukeni wangu umetukuka zaidi ya ukuu wa muadhama polycarp kardinali pengo.Nachoomba Kwenu enyi watabe ,Naam enyi wajuzi na wakongwe wa mtandao huu pendwa ni kujuzwa kwa kina na nidadafuliwe kwa undani na weledi mkuu mambo matamu na muhimu nitakayoyapata hapa baada yakufanikiwa kujiunga nanyi leo..JE uwezekano wakupata papuchi za mdebwedo kama kule badoo upo?kama upo nasema zijiandae zafwaa maana nimeingia kipanga ama shetwani wa papuchi..naomba kuwasilisha.!

Sent using Jamii Forums mobile app
Dogo acha za fb..........
 
Back
Top Bottom