mtanzania07071989
Senior Member
- Aug 12, 2012
- 153
- 20
Niaje wana jf naomba kuuliza,ivi kuna dawa au namna yeyote ya kuzuia mimba iliyotungwa ndani ya siku moja au mbili baada ya kufanya mapenzi?
Kwa hiyo yeye alitaka mfanye siku ya ngapi ili iwe safe? Jambo usilolijua laweza kuwa usiku wa giza. Jihadhari mkuu naona kuna kila dalili ya kuuziwa mbuzi kwenye gunia.Sio mm dem wangu,anasema anahic tulifanya siku mbaya,siku ya 6 baada ya hedhi kuanza.can it be true.
Sio mm dem wangu,anasema anahic tulifanya siku mbaya,siku ya 6 baada ya hedhi kuanza.can it be true.