Mimba hugundulika baada ya muda gani?

wiki1! nenda kapime utupe mrejesho
 
Ulivyokuwa siriaz kutoa kipochi manyoa ulituuliza? Umekula nyama mbichi afu unaogopa kumeza, he he he heee

Kiongozi majibu yako makavu mno, sidhani kama ataweza kuyameza.
 
Nadhani baada ya wiki moja inagundulika, wewe nenda hospitali ukapime kama imeshapita wiki hujaona mzunguko wako na kama uliuza mechi.

Dalili kwa uchache ni kuchoka choka,kuhisi kichefu chefu,kuanza kuchukia baadhi ya vitu hasa misosi na kupenda vingine kupita kiasi,kupenda kulala lala.

Nenda kwa dokta utapata majibu zaidi.
 
Maneno wala huwa sio makali, dunia ni kali mno, imagine badala ya mimba iwe ni VVU?

Tuwafundishe mabinti kuogopa magonjwa ya zinaa kuliko mimba, mimba ni baraka sio tatizo. Kama kanasa azae, kutoa should not be an option.

Kiongozi majibu yako makavu mno, sidhani kama ataweza kuyameza.
 
Shaur yako utakuwa umesingiziwa hilo swali linaonesha dhahiri ulivyo na wasiwasi na huyo mtoto wawatu wa kamanda

Kwa taarifa yako
Few hours after ejaculating on her.....
 
Naomba mnijuze jaman,et mimba huanza kugundulika baada ya muda gani na dalili zake huwa ni zipi?

mimba huanzia kugundulika baada ya week mbli..baada ya uchavushaji wa yai...hii ni kutokana na hormone ya HCG(human chorionic gonadotropin) kuwa kwa kiwango kikubwa mwili..ambayo husababisha mabadliko kwenye mwili wa manamke nakuanza tapika, vichefuchefu, body weakness...chils...na mengineyo.

kipimo chaku screen pregnacy ni UPT ambacho hu detect ant-HGC zilizo kwenye mkojo..
 

Chini ya wiki mbili kipimo cha mkojo hakiwezi gundua mimba…??
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…