Hesabu siku ya 11 -15 toka uanze bleed ..hizo siku ndizo za kupata mimba..
Kwa hesabu za urahisi unaanza hesabu siku 10 toka tarehe ya kuanza bleed kwa hiyo kunazia siku ya 11 hadi 15 ndizo siku za kushika mimba kwani yai la uzazi linakuwa tayari limeshuka linangoja kurutubishwa na mbegu za kiume
Hesabu siku ya 11 -15 toka uanze bleed ..hizo siku ndizo za kupata mimba..
Dah kunahali kama hii imenitokea,,yani natamani hata tuwasiliane ili uniambie vizuri,maana sina raha,,sijui ntakupataje jamaniinategemea mimi sikujua hadi nilipitisha MP na zile dalili zikaonekana wiki ya nne, lakini wiki tatu nyuma niliumwa sana kiuno nahisi ilikuwa ni dalili but ni nilidhani ni Menstrual pain
Dah kunahali kama hii imenitokea,,yani natamani hata tuwasiliane ili uniambie vizuri,maana sina raha,,sijui ntakupataje jamani