habari wana jamvi, mke wangu ni mjamzito wa kama miezi mitatu na nusu hivi, cha kushangaza na mimi nimeanza kupata hali ya kupenda vitu vya ajabu, nachagua chakula, napenda sana malimao na nimepata hali ya kupenda chocolate za dairy milk, nimepoteza hali ya kufanya kazi, ila kwenye mzigo nagonga kama kawa, hii ni nini?