mimba hiyoo mkuu hauna cha kushangaa hapo msaidie mkeo bana yy atamalizia tu kwenda labour
hahaaaa, duh.
Hii kali. Sijawahi kuisikia. Ngoja wataalam waje wakusaidie.
habari wana jamvi, mke wangu ni mjamzito wa kama miezi mitatu na nusu hivi, cha kushangaza na mimi nimeanza kupata hali ya kupenda vitu vya ajabu, nachagua chakula, napenda sana malimao na nimepata hali ya kupenda chocolate za dairy milk, nimepoteza hali ya kufanya kazi, ila kwenye mzigo nagonga kama kawa, hii ni nini?
hahaaaa, duh.
Hii kali. Sijawahi kuisikia. Ngoja wataalam waje wakusaidie.
jiandae kujifungua...inawezekana ni aina mpya ya limbwata
Kwa kiswahili fasaha hio hali ulokuwa nayo inaitwa UCHE na inawatokeaga baadhi ya wanaume pindi ambapo wake zao wakiwa wajawazito.Usiwe na shaka utarudia hali ya kawaida mkeo akijifungua...:smile-big:habari wana jamvi, mke wangu ni mjamzito wa kama miezi mitatu na nusu hivi, cha kushangaza na mimi nimeanza kupata hali ya kupenda vitu vya ajabu, nachagua chakula, napenda sana malimao na nimepata hali ya kupenda chocolate za dairy milk, nimepoteza hali ya kufanya kazi, ila kwenye mzigo nagonga kama kawa, hii ni nini?
Mie wakwangu kuamka kwenda kazini ni balaa yaani ni uvivu tu.
Afadhali we unalamba malimao, kuna mdau mmoja alikua anakula udongo na akawa anatembea mwendo wa paka
hahaha dah! Huyo alizidsha![/QUOTE
kweli mkuu