Nyani Ngabu
Platinum Member
- May 15, 2006
- 94,296
- 122,540
hayo mengine uliyosema sina uhakika nayo, ila hapo kwenye bold umeskip the line. Kakobe ahubiri prosperity gospel. Anahubiri injili ya wokovu na kuishi kwa kumpendezesha Mungu na si wanadamu. usimfananishe na mchungaji wa kanisani kwako
ndugu, dadako anaimba kwaya na amepata mimba, au una maana gani kuleta thread hii hapa? mimba za makanisani ni chache sana kuliko za mitaani, makanisani watu mnaona kama ni kitu cha ajabu, na kweli ni cha ajabu, lakini ya mitaani inaonekana kama ni kitu cha kawaida ndio maana hata kuipublicise haihitajiki...upo hapo kulichafua jina la kanisa au? kwasababu kwenye makanisa ujue huwa kuna watu waliokomaa kiroho na wasiokomaa kiroho, wale wanaomjua Mungu kikwelikweli hawawezi kufanya hivyo, ila wale ambao wameokoka karibuni au wanaigiza, ndo huwa wanaleta sifa mbaya kama hiyo...may God help you.
Umenena vema. Mwenye akili na aeleweNimeamka na kukumbuka ndoto ya usiku ambapo mie na wife na mtoto wetu tulikuwa tuko mahali tunaangalia kwaya inayoimba vizuri sana na kusababisha mpaka watu kusimama kuishangilia kwa sababu ya jinsi wanavyoimba vizuri na kutouch hisia za watu. Lakini mara tukaona katikakati yao wako ambao wako uchi na wengine wanafanya uchafu(uasherati na uzinzi), mpaka binti yangu akaniambia baba mbona hawa watu wanaimba lakini wanafanya uchafu huu? Tukaamua kujiondokea kwani tuliona hapatufai, tunachafua nafsi zetu bure.
Nashangaa kufungua thread ya kwanza JF naona inaongelea suala hili.
Naomba nichangie kwa kueleza kuwa uasherati au uzinzi ni wa kukimbia siyo suala la kusema tu kwamba ninaomba na kusali sana siwezi kuingia kwenye dhambi hii. Ndiyo nakubali kabisa kuwa ili ushinde vishawishi/majaribu ni lazima kuomba lakini nakushauri usiendekeze mahusiano ya karibu kati ya mvulana na msichana au mwanaume au mwanamke ambao siyo walio na ndoa. Kwa kuendekeza ukaribu wa namna yoyote kati ya jinsia mbili tofauti utakuingiza kwenye dhambi hii na utashitukia ulishafanya.
Nikukumbushe pia kuwa kwenye kwaya/kanisa/ulokole watu wanaingia na interest tofauti ambazo anayezijua ni Mungu, Shetani na wao wenyewe. Kwa hiyo isipe shida kuona anayesema ameokoka/anayeimba kwaya akapata mimba; kwangu ninasikitika kwa kuwa anakuwa amelitukana jina la YESU na WOKOVU kwa ujumla lakini ni Matunda ya kile alichopanda huko ndani ya kwaya au kwenye wokovu anaosema na Mungu anaamua kumuonyesha kwa watu kuwa siyo mwenzetu au hajali yale anayofundishwa. Nikukumbusheni kuwa atakayevumilia hadi mwisho ndiye atakayeokoka; bado tuko safarini na kwa hiyo ni muhimu kutunza tiketi yako ya safari na usichafue mavazi yako ya safari.
Wanakwaya waliookoka wasio na ndoa wanapataje mimba?
Maana ukiwasalimia dada mambo? Utawasikia wakijibu mambo kwa yesu.
Lakini cha kushangaza na kusikitisha ni mabingwa wa kubeba mimba kabla ya ndoa
Mimi mpaka sasa ninao mabinti wawili wa kilokole nabanjuka nao mmoja Pentecoste (PHM) na mwingine Assemblies, tena mmoja matata sana kitandani (Assemblies), utadhani huwa anatazama picha za kikubwa jinsi anavyojituma.
ndugu, dadako anaimba kwaya na amepata mimba, au una maana gani kuleta thread hii hapa? mimba za makanisani ni chache sana kuliko za mitaani, makanisani watu mnaona kama ni kitu cha ajabu, na kweli ni cha ajabu, lakini ya mitaani inaonekana kama ni kitu cha kawaida ndio maana hata kuipublicise haihitajiki...upo hapo kulichafua jina la kanisa au? kwasababu kwenye makanisa ujue huwa kuna watu waliokomaa kiroho na wasiokomaa kiroho, wale wanaomjua Mungu kikwelikweli hawawezi kufanya hivyo, ila wale ambao wameokoka karibuni au wanaigiza, ndo huwa wanaleta sifa mbaya kama hiyo...may God help you.
Nimeamka na kukumbuka ndoto ya usiku ambapo mie na wife na mtoto wetu tulikuwa tuko mahali tunaangalia kwaya inayoimba vizuri sana na kusababisha mpaka watu kusimama kuishangilia kwa sababu ya jinsi wanavyoimba vizuri na kutouch hisia za watu. Lakini mara tukaona katikakati yao wako ambao wako uchi na wengine wanafanya uchafu(uasherati na uzinzi), mpaka binti yangu akaniambia baba mbona hawa watu wanaimba lakini wanafanya uchafu huu? Tukaamua kujiondokea kwani tuliona hapatufai, tunachafua nafsi zetu bure.
Nashangaa kufungua thread ya kwanza JF naona inaongelea suala hili.
Naomba nichangie kwa kueleza kuwa uasherati au uzinzi ni wa kukimbia siyo suala la kusema tu kwamba ninaomba na kusali sana siwezi kuingia kwenye dhambi hii. Ndiyo nakubali kabisa kuwa ili ushinde vishawishi/majaribu ni lazima kuomba lakini nakushauri usiendekeze mahusiano ya karibu kati ya mvulana na msichana au mwanaume au mwanamke ambao siyo walio na ndoa. Kwa kuendekeza ukaribu wa namna yoyote kati ya jinsia mbili tofauti utakuingiza kwenye dhambi hii na utashitukia ulishafanya.
Nikukumbushe pia kuwa kwenye kwaya/kanisa/ulokole watu wanaingia na interest tofauti ambazo anayezijua ni Mungu, Shetani na wao wenyewe. Kwa hiyo isipe shida kuona anayesema ameokoka/anayeimba kwaya akapata mimba; kwangu ninasikitika kwa kuwa anakuwa amelitukana jina la YESU na WOKOVU kwa ujumla lakini ni Matunda ya kile alichopanda huko ndani ya kwaya au kwenye wokovu anaosema na Mungu anaamua kumuonyesha kwa watu kuwa siyo mwenzetu au hajali yale anayofundishwa. Nikukumbusheni kuwa atakayevumilia hadi mwisho ndiye atakayeokoka; bado tuko safarini na kwa hiyo ni muhimu kutunza tiketi yako ya safari na usichafue mavazi yako ya safari.
Naona watu wengine ni mabingwa wa kusema uongo. Lol!
Mwana wa Adamu hakuja ila kwa kondoo waliopotea. Mtu mwenye afya hana hitaji la tabibu ila yule aliye dhaifu.
kati yetu sisi tunaowapiga madongo hao waimba kwaya walokole na hatujawahi fanya dhambi ya aina yoyote na tuwe wa kwanza kuwarushie mawe..... tunachotakiwa kufanya ni kuwaombea tu na si vinginevyo.
Mwana wa Adamu hakuja ila kwa kondoo waliopotea. Mtu mwenye afya hana hitaji la tabibu ila yule aliye dhaifu.
kati yetu sisi tunaowapiga madongo hao waimba kwaya walokole na hatujawahi fanya dhambi ya aina yoyote na tuwe wa kwanza kuwarushie mawe..... tunachotakiwa kufanya ni kuwaombea tu na si vinginevyo.
ndugu, dadako anaimba kwaya na amepata mimba, au una maana gani kuleta thread hii hapa? mimba za makanisani ni chache sana kuliko za mitaani, makanisani watu mnaona kama ni kitu cha ajabu, na kweli ni cha ajabu, lakini ya mitaani inaonekana kama ni kitu cha kawaida ndio maana hata kuipublicise haihitajiki...upo hapo kulichafua jina la kanisa au? kwasababu kwenye makanisa ujue huwa kuna watu waliokomaa kiroho na wasiokomaa kiroho, wale wanaomjua Mungu kikwelikweli hawawezi kufanya hivyo, ila wale ambao wameokoka karibuni au wanaigiza, ndo huwa wanaleta sifa mbaya kama hiyo...may God help you.
legacy ni muhimu sana kuifahamu mkuu.I think either you or him are parsing words but the essence is still the same.