Mimba ya Zari ni ya Diamond??

Pdidy

JF-Expert Member
Joined
Nov 22, 2007
Posts
57,951
Reaction score
32,619
Swali hili ngoja nisubiri. Diamond aje kujibu, kingine awe makini na mitandao. Kama uko nae karibu mjulishe hili.

 
Na hao watoto unao ambiwa ni wako, una amini ni kweli?
 
Domo kwa promo hajambo,imethibitishwa kwamba ndomo hana uwezo wa kumpa mimba m/ke,penny kakonfirm hiyo na ukisoma kati ya mistari,baada ya hilo dongo ndio domo kaona atoke vipi,kamuomba zari aweke utra sound ya mimba ya mtoto wake wa kwanza ili domo aue soo ya kuwa joka la kibisa.
 
Diamond huyo msupu Akijifungua hiyo Mpe nyingineeee...

We ndo shemeji wa jumuiya ya Afrika masharikiiii.......mwendo wa projectooo
 

Sa si atajiabisha zaidi miezi ikipita halafu kitu holaa watu wanamsubiria huyo chibu junior
 
Mimba ya zari kapewa na Ivan

Vitu vingine tuviache vipite...!!!! Mimba ninini...!!!! Inapatikanaje...!!! Mwanadamu anakuwaje wakati wa kupatikana mimba..!! Ukichunguza kwa undani kabisa utaona ni aibu kuzungumzia suala hilo hadharani hasa kwa jamii yenye maadili mazuri...!!! Ukiona mtu ana mimba ujue kafanywa nini...!!?? Na je walistahili ama wametenda dhambi....!!!!!???? Jamani tuyaache haya yapite tu hayafai kuyajadili katu....!!!!!
 

Wametaka tuyajadir Mr misifa acngeweka ultrasound tucngejua kua zar ana kibend

Mlaumu domo na co Cc
 
Aliyelala na Zari bila kinga ndo atakua baba w mtoto.....:confused3:
 

Penny,Wema,Jokate walishawai kupewa mimba na mtu yeyote?
 
Diamond huyo msupu Akijifungua hiyo Mpe nyingineeee...

We ndo shemeji wa jumuiya ya Afrika masharikiiii.......mwendo wa projectooo

shemeji wa.......?...iiikhikhikhih....
 
diamond anahaki ya kuzaa na mwanamke yeyote atakaye ona ana faa kwa kadri dhamira yake itakavyo mtuma
 
ngoja chibu junior azaliwe....kama wa diamond tutajua tuu...km wa Ivan tutajua....pia...keep waiting
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…