Mimba yangu jamani

Mimba yangu jamani

Van l

Member
Joined
Jan 20, 2012
Posts
74
Reaction score
12
Habar zenu wana jamvi natumain ushaur wenu utanisaidia,nina mimba ya wiki nane cha ajabu gafla nimeanza kuona chembe chembe za damu zkinitoka je iyo hali ni ya kawaida au ndio mimba inatoka csikii maumivu ya tumbo
 
Habar zenu wana jamvi natumain ushaur wenu utanisaidia,nina mimba ya wiki nane cha ajabu gafla nimeanza kuona chembe chembe za damu zkinitoka je iyo hali ni ya kawaida au ndio mimba inatoka csikii maumivu ya tumbo

Aisee wahi haraka hospitalini hizo ni dalili za wazi kabisa mimba kuharibika ila nashangaa huna maumivu yoyote ...
 
Yan naogopa sna anyway thnx kwa ushaur

Poa, mimi kuna shemeji yangu alikuwa na hali kama ya kwakk sema tofauti kati yako na wewe ni kwamba yeye aliumwa na tumbo!
 
pole ndugu usiwaze sana mie nilipata hilo tatizo mimba ikiwa na miez 3 nilimwaga damu c mchezo;cha kufanya pumzika hadi hilo tatizo liishe means usifanye kazi ngumu;nenda kamwone docta kuna dawa ya tatizo
 
Hiyo inaitwa spotting!sio dalili nzuri sana.La kufanya jitahidi kupumzika vya kutosha na kupata mlo mzuri.Uangalizi wa daktari ni muhimu katika kipindi chote hicho.
 
Nenda hospital ukaonane na daktari kwa ushauri na maelekezo zaidi. Hapa tunakupa tu uzoefu tulionao na yaliyowahi utokea
 
mara nyng huwa ni dalil za mimba kutoka but nenda hosp.haraka ila ucogope huwenda ni tatzo dogo pia wapo wa2 wanapataga hedhi wakiwa na mmba dunia maajab
 
nashukuru kwa ushaur jaman nimeenda hospital nimeambiwa cio tatizo sna ila nina takiwa nipate muda mwingi wa kupumzika na kuepuka kazi ngumu ili mimba icitoke
 
pole dada hawa watoto wanakimbiza sana, yalimkuta mkewangu miezi 2 iliopita,.alitokwa na damu nyingi na maumivu makali Dr alisema mimba imetoka, ajabu Leo mwezi wa2 nimempima na UPT mimba ipo hatasielewi what's going on
 
Mwanzo wa mwezi ulikuwa na mimba ya wiki 3 (bofya) kwa sasa si wiki 8 ni 7 tu. Bali hongera kumbe ulikuwa nayo?
 
hii hali inasababishwa na nn,,maana hata mchumba wangu iliwahi kumtokea na mimba ikatoka,,je kuna husiano na utoaji mimba?nina maana kwamba mtu aliyetoa mimba ndo anaweza kupatwa na hali kama hii?pia naomba kujua kama mtu akipatwa na hali hii anaweza pata mimba?
 
So nn kilitokea mjumbe?

baada ya siku mbili hali ikawa mbaya sana yakaanza kutoka mabonge mabonge ya damu kwenda hospitali ikaonekana mimba ishaharibika, kilichofuata ni kusafishwa tu na kupewa madawa na kutakiwa kutoshika mimba nyingine ndani ya miezi 6.
 
Wahi hosptl jembe litatoka bure?lakini haya ikitoka Si kiwanda unacho?
 
Habar zenu wana jamvi natumain ushaur wenu utanisaidia,nina mimba ya wiki nane cha ajabu gafla nimeanza kuona chembe chembe za damu zkinitoka je iyo hali ni ya kawaida au ndio mimba inatoka csikii maumivu ya tumbo

acha kwenda Kwenye shughuli n'a kuzurura
 
Hii post inanipa machungu kweli...juzi tu tarehe 22 mimba ya mpenzi wangu imeharibika....ye tangu amepata mimba tumbo lilikuwa linamsumbua sana na mara chache alihissi vidamu damu...j3 ilikuwa aanze kliniki ila usiku wa siku hiyo alianguka chooni na mimba ikaharibika.....ooooopss tayari nlikuwa na ndoto nyingi..daaagh
 
Hii post inanipa machungu kweli...juzi tu tarehe 22 mimba ya mpenzi wangu imeharibika....ye tangu amepata mimba tumbo lilikuwa linamsumbua sana na mara chache alihissi vidamu damu...j3 ilikuwa aanze kliniki ila usiku wa siku hiyo alianguka chooni na mimba ikaharibika.....ooooopss tayari nlikuwa na ndoto nyingi..daaagh
Du pole sana mkuu.
 
Back
Top Bottom