Mimba za Utotoni: Ushauri kwa vyombo mbalimbali vya Serikali

Mimba za Utotoni: Ushauri kwa vyombo mbalimbali vya Serikali

Status
Not open for further replies.

JamiiTalks

JF Advocacy Team
Joined
Aug 7, 2018
Posts
685
Reaction score
1,124
20210217_171950_0000.png


Vipeleleze shutuma za rushwa kuhusiana na kesi za ndoa za utotoni, kama ushahidi utapatikana iwaadhibu maafisa wa utekelezaji wa Sheria wanaohusika.

Serikali ipanue Mahakama za Watoto, kama ilivyowekwa kwenye Sheria ya Mtoto, kwenye maeneo ya Vijijini na Mjini ili kuongeza upatikanaji wa haki kwa Watoto.
 
Upvote 0
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom