Mimba za Utotoni: Ushauri kwa Wizara ya Elimu

Mimba za Utotoni: Ushauri kwa Wizara ya Elimu

Status
Not open for further replies.

JamiiTalks

JF Advocacy Team
Joined
Aug 7, 2018
Posts
685
Reaction score
1,124
20210217_122010_0000.png


Irekebishe Sera ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi ili ijumuishe kifungu ambacho kinaruhusu Wanafunzi waliojifungua kuendelea na elimu yao.

Irekebishe Kanuni Na. 4 ya Kanuni ya Elimu (Kufukuzwa Shule na Kukatishwa Masomo) ya 2002 kwa kuondoa “ndoa” kama sababu ya kufukuzwa Shule, na kuongeza kufungu kinachosema wazi kwamba mimba na ndoa sio sababu ya mwanafunzi kufukuzwa Shule au kukatishwa masomo.
 
Upvote 0
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom