Arafat Bahdellah
Member
- Jan 15, 2013
- 77
- 27
Vyombo vya habari vimekuwa vikiripoti mara kwa mara yakuwa; mabinti wengi hawahitimu masomo yao kwasababu ya kupata ujauzito (mimba za utotoni).
Mtoto anaweza pata ujauzito?
Wanabaiologia; hii kauli ya mimba za utotoni, iko sahihi kulingana na taaluma yenu?
Wana JF; mawazo yenu ni muhimu, binafsi sidhani kama kuna mimba za utotoni labda tukitumia tafsiri isiyo sahahi kumtafsiri mtoto.
Mtoto anaweza pata ujauzito?
Wanabaiologia; hii kauli ya mimba za utotoni, iko sahihi kulingana na taaluma yenu?
Wana JF; mawazo yenu ni muhimu, binafsi sidhani kama kuna mimba za utotoni labda tukitumia tafsiri isiyo sahahi kumtafsiri mtoto.