Mimba za utotoni

Joined
Jan 15, 2013
Posts
77
Reaction score
27
Vyombo vya habari vimekuwa vikiripoti mara kwa mara yakuwa; mabinti wengi hawahitimu masomo yao kwasababu ya kupata ujauzito (mimba za utotoni).

Mtoto anaweza pata ujauzito?

Wanabaiologia; hii kauli ya mimba za utotoni, iko sahihi kulingana na taaluma yenu?

Wana JF; mawazo yenu ni muhimu, binafsi sidhani kama kuna mimba za utotoni labda tukitumia tafsiri isiyo sahahi kumtafsiri mtoto.
 
Kwamujibu wa sheria ya Tanzania; nimesikia mtu under 18 anatafsiriwa kuwa ni mtoto, mimi sidhani kuwa ni sahihi, ndio maana nahitaji mawazo tofauti na law.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…