Mimba zenye mapacha, dalili zake ni zipi?

Papa Mopao

JF-Expert Member
Joined
Oct 7, 2009
Posts
4,153
Reaction score
2,647
Naomba kujua dalili za mimba zenye mapacha zinakuwaje kuwaje, hata ukiweza kutoa uzoefu wako hapa itapendeza sana kwa faida ya wengine.

asanteni na karibuni
 
Dalili za mimba ni zile zile. Ila kuanzia miezi minne unaweza kuanza kuona tofauti. Tumbo linakuwa kwa Kasi Sana. Na pia miezi Sita tumbo linakuwa kama na limejikawa katikati.
 
Dalili za mimba ni zile zile. Ila kuanzia miezi minne unaweza kuanza kuona tofauti. Tumbo linakuwa kwa Kasi Sana. Na pia miezi Sita tumbo linakuwa kama na limejikawa katikati.
Shukrani mkuu!!
 
Ikifika kianzia miezi mitano utaanza kuona tumbo kama limejigawa kati pia unaweza sikia mtoto anacheza pande mbili sasa mimi nilizaa wanne nilikua nasikia wanacheza kila kona pia tumbo lilikua zito unachoka sana
Yesu wangu. Hongera mkuu.
 
Inategemeana mara nyingi tumbo hubebewa mbavuni na mwanamke husikia maumivu sana kiasi hata mapenzi hatamani hasa ikiwa ni mimba ya kwanza mapacha wafananao.Tumbo kuwa kubwa beyond normal.
 
Unaweza kugundua kwa kuangalia tumbo la mama linakua kubwa kwa pemben ubavun utaskia migongo huku na huku yan pande mbili ila n ngumu kujua kwa mtu wa kawaida iyo mpaka anaejua kushika nakuskia palpation, kidgo kuna ugumu kugundua mpaka saana ukienda clinic ndo wnaweza wakagundua kwa urahis maana wataskia mapigo ya moyo ya mtoto yanaskika pande mbi
 
Kitaaalam n rahis ila kidgo kuna ugumu kwa mtu kujua ila, kikubwa ni tumbo linakua na umbo shape flan iv ya kujaa pande zote yaan lateral side tofauti ni mimba ya mtoto mmoja kuna upande unakua umebonyea kama mtoto amelala vzr kama inavyotakiwa kulala tumboni.
 
Ikifika kianzia miezi mitano utaanza kuona tumbo kama limejigawa kati pia unaweza sikia mtoto anacheza pande mbili sasa mimi nilizaa wanne nilikua nasikia wanacheza kila kona pia tumbo lilikua zito unachoka sana
Hongera na pole sana...wamekua wote?
 
Samahani, linajigawaje? Yani linajikata kuanzia chini ya kitovu mpka juu au linajikata kimapana?
Ikifika kianzia miezi mitano utaanza kuona tumbo kama limejigawa kati pia unaweza sikia mtoto anacheza pande mbili sasa mimi nilizaa wanne nilikua nasikia wanacheza kila kona pia tumbo lilikua zito unachoka sana
 
Samahani,linajigawaje?yani linajikata kuanzia chini ya kitovu mpka juu au linajikata kimapana?
Ikifika kianzia miezi mitano utaanza kuona tumbo kama limejigawa kati pia unaweza sikia mtoto anacheza pande mbili sasa mimi nilizaa wanne nilikua nasikia wanacheza kila kona pia tumbo lilikua zito unachoka sana
 
Inategemeana mara nyingi tumbo hubebewa mbavuni na mwanamke husikia maumivu sana kiasi hata mapenzi hatamani hasa ikiwa ni mimba ya kwanza mapacha wafananao.Tumbo kuwa kubwa beyond normal.
Hayo maumivu mimba ikiwa na umri gani?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…