ABiClever Junior
JF-Expert Member
- Dec 14, 2016
- 948
- 548
hata mim huku kwetu(Pangan,Tanga)ipo mingi sana.Huo wenye hisia ndo nimewah kuuona hapa Tz
[emoji1] [emoji1] [emoji1] unastahili kuwa namba moja kwenye 10 boraOngezea matembele hapo. Maajabu yake ni kwamba unapika fungu moja lakini linatosheleza familia nzima[emoji41]
Yaweza kua kweli kule kwetu tunaiita 'mfa usiku'Huo wenye hisia ndo nimewah kuuona hapa Tz
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Ongezea matembele hapo. Maajabu yake ni kwamba unapika fungu moja lakini linatosheleza familia nzima[emoji41]