Mtu Poa 2013
Senior Member
- Mar 26, 2013
- 105
- 65
Habari zenu.
Naulizia kwa anayejua, ni Miche gani unaweza panda kama una eneo lako kwa ajili ya kama uzio au Fensi ambayo ndani ya wiki kadhaa inakuwa ishakuwa Fensi kamili? Ukiacha michongoma inayotumia muda mrefu kuota.
Kwa anayejua aniambie
Naulizia kwa anayejua, ni Miche gani unaweza panda kama una eneo lako kwa ajili ya kama uzio au Fensi ambayo ndani ya wiki kadhaa inakuwa ishakuwa Fensi kamili? Ukiacha michongoma inayotumia muda mrefu kuota.
Kwa anayejua aniambie