Mbona X hujamuongelea??Is she out of the picture??
Nwy hongereni ...mfike mbali bila wewe kuongeza kina S, Z, U etc.
Nilianzia hapa kueleza kilichonisibu:
https://www.jamiiforums.com/mahusiano-mapenzi-urafiki/139650-mimi-b-y-na-x.html
Nawashukuru sana kwa Michango yenu.
Though kuna ambao mlini crash kwa namna flan,thanks lot, i expected that.
Nimeamua ni vyema nikawashirikisha Outcome za Ushauri na mawazo yenu hapa Jamvini.
Inshort, Y amenielewa na Very soooooooooooooon ntampeleka kwa Mama Kum Introduce naye kunipeleka kwao ku do the Same...
X nitamueleza,but sitaki kufanya in a hush way coz sitak kumhurt,hope atanielewa
Boss, umeni touchnampa pole Y bse sielew kind ya mwanaume alyenaye,up 2 now haujamweleza X,wanaume wengne bwana mnajijal 2 wenyewe sasa kaka kwa taarfa OLD IS GOLD,utajuta kuzaliwa atakulaan kwel kwel,na huyo Y nahs Q mwngne atatokea sun naye ataacha,ka mwanaume ZINDUKA NA CHUKUA HATUA.
Dah, i feeel Guilty Kaka,umenichoma sanaaaaaaaaDah i feel so sorry for X, sasa km hutaki kumuumiza ilikuwaje ukaanzana na Y? bana hili sio hitimisho km memba wengine walivyosema hapo juu. ila kumbuka what goes around comes back around.