mimi binafsi nasuggest kuwa warembo hawa waolewe na diamond platinumz kwa pamoja bila hiyana!!

mimi binafsi nasuggest kuwa warembo hawa waolewe na diamond platinumz kwa pamoja bila hiyana!!

Down To Earth

JF-Expert Member
Joined
Jul 8, 2011
Posts
21,940
Reaction score
16,643
habari zenu wa jukwaa!!

bila kusita, naomba nitoe request kwa mzee wa sukari ya warembo, the platinumz, the number one of beatifullz afanye hili!
1392452_234721560023509_1058475883_n.jpg

diamond, dini yetu inaruhusu kabisa kuwa na wake zaidi ya wanne!! basi mimi binafsi nakushauri uwaweke ndani warembo hawa ili wawe wako wa milele kuliko kuwa unawazunguka tu kila siku!!

1. Wema sepetu.

2. jackline wolper.

3. penny mwingilwa

4. jokate mwegelo!

halafu baadae tafuta nyumba ndogo kama nne hivi ili uendelee kusambaza dozi!

naomba tena nisuggest small house..

formation iwe hii

1. irene uwoya.

(malizieni wengine watatu)

.........

fanya hivyo besti angalau uache damu tuione!!!!

si unajua tena mafreemason wanaweza kukubeba!!
 
diamond eehh,
hebu weka hili goma ndani bwana!
ona sasa limeshahongwa range rover!
unategemea nini sasa!!
1450779_234250486737283_1472158290_n.jpg
 
Diamond.. Mhm.. Ka demu vile..! Wabongo we acha tu
 
yaan kat ya hapo nahisi hamna atakeyekuja kuolewa.. hao madem wote vimeo, wanapenda pesa balaa.. nashaur akaoe kwao kigoma kuna totoz za ukweli kule
 
Nakidogo sasa achunge sana na iyo milioni yake mia moja anayo jitambia kwenye tv
 
habari zenu wa jukwaa!!

bila kusita, naomba nitoe request kwa mzee wa sukari ya warembo, the platinumz, the number one of beatifullz afanye hili!
1392452_234721560023509_1058475883_n.jpg

diamond, dini yetu inaruhusu kabisa kuwa na wake zaidi ya wanne!! basi mimi binafsi nakushauri uwaweke ndani warembo hawa ili wawe wako wa milele kuliko kuwa unawazunguka tu kila siku!!

1. Wema sepetu.

2. jackline wolper.

3. penny mwingilwa

4. jokate mwegelo!

halafu baadae tafuta nyumba ndogo kama nne hivi ili uendelee kusambaza dozi!

naomba tena nisuggest small house..

formation iwe hii

1. irene uwoya.

(malizieni wengine watatu)

.........

fanya hivyo besti angalau uache damu tuione!!!!

si unajua tena mafreemason wanaweza kukubeba!!

Ndugu hiyo "dini yenu' inayoruhusu kuoa wake zaidi ya wanne ni dini gani?
Au umekurupuka?
 
Back
Top Bottom