Minjingu Jingu
JF-Expert Member
- Nov 2, 2023
- 1,072
- 2,384
Hali yangu na hawa wenzangu ambao tulijitolea kwa hali na mali kumshambulia Lissu na kumsifu Mbowe ni mbaya. Hatuna raha, tumekonda ghafla na nuru imezidi kufifia. Hiki ni kipindi ambacho tulimtaka sana Mbowe. Hatujawahi mtaka Mbowe awe Mwenyekiti kama ilivyo sasa.
Kwa niaba ya wenzangu wakunja sura Tlaatlaah ChoiceVariable Ritz Adiosamigo Samiaagain2025 Lucas Mwashambwa na wana CCM wengine nakiri Lissu ametufanya jambo baya sana la kusikitisha na la aibu kusimulia mbele za watu.
Lissu si binadamu wa kawaida. Tulipambana naye sana. Kwa mbiiiinde katuweza. Tumejitahidi sana kila tukiinamishwa kichwa chini tukubali tunainuka...kila akituinamisha tunainuka. Hatimaye ameweza. Tumelamba mchanga. Hoi na kuharibiwa kisaikolojia.
Kwa niaba ya wenzangu wakunja sura Tlaatlaah ChoiceVariable Ritz Adiosamigo Samiaagain2025 Lucas Mwashambwa na wana CCM wengine nakiri Lissu ametufanya jambo baya sana la kusikitisha na la aibu kusimulia mbele za watu.
Lissu si binadamu wa kawaida. Tulipambana naye sana. Kwa mbiiiinde katuweza. Tumejitahidi sana kila tukiinamishwa kichwa chini tukubali tunainuka...kila akituinamisha tunainuka. Hatimaye ameweza. Tumelamba mchanga. Hoi na kuharibiwa kisaikolojia.