Kati ya wanawake wa JF ambao hawajapata PM za kutosha za wanaume,wewe ni mmoja wao. Jina halishawishi kuingia humo kabisa. Hahhahahahahahah jamani, sawa Compact tehe tehe tehe
hahahaah, hivi bado wanaendekeza kuombana unyumba kwenye mitandao! hahahahhahahah, Je, mkikubaliana halafu siku ya kumeet unashangaa hana vigezo unavyovitaka utafanyaje? hahahahaahahahahahKati ya wanawake wa JF ambao hawajapata PM za kutosha za wanaume,wewe ni mmoja wao. Jina halishawishi kuingia humo kabisa. Hahhaha
Mnaahidiana kukutana. Hampeani namba,mkikubaliana kukutana mahali msiporudhiana mmoja anamkimbia mwenzake kwa kasi ya ajabu kama akiwahi kumuona.hahahaah, hivi bado wanaendekeza kuombana unyumba kwenye mitandao! hahahahhahahah, Je, mkikubaliana halafu siku ya kumeet unashangaa hana vigezo unavyovitaka utafanyaje? hahahahaahahahahah
Washindiathe!!hahahahaha yaani wengi wameingia inbox kuniuliza ndio maana nimeona bora niweke tu uzi hapa kwenye jukwaa la utambulisho: mie ni mwanamke wa KIPARE wa bila kuchakachua
chedi, vipi yule housegirl wenu aliyeolewa na MUUZA NJEGERE hajambo? aahahahahaππWashindiathe!!
Nadhani kwa sasa atakuwa na mimba tena kubwa. Hahahaaaaachedi, vipi yule housegirl wenu aliyeolewa na MUUZA NJEGERE hajambo? aahahahahaππ
Sehemu ipi niliwachanganya?Naweza nikakataa lakini kwa kuwa umekiri mwenyewe kuwa wewe ni ke, basi acha tu niamini. Ila ulituchanganya wengi
hahahahahahhahahahNadhani kwa sasa atakuwa na mimba tena kubwa. Hahahaaaaa
Mbona mtu akisoma comments zako anajua kabisa ni mwanamke au watu wameogopa IDhahahahaha yaani wengi wameingia inbox kuniuliza ndio maana nimeona bora niweke tu uzi hapa kwenye jukwaa la utambulisho: mie ni mwanamke wa KIPARE wa bila kuchakachua
hahahahahahhahaha, labda hiyo sura yangu ambayo nimezeeka hadi maneno yamepungua kinywani, tehe tehe tehe teheMbona mtu akisoma comments zako anajua kabisa ni mwanamke au watu wameogopa ID
ID PICTURE UMENIKUMBUSHA JINO MOJA MSWAKI WA NINI ENZI IZO JKTkwanini umecheka sana FOD 66?
???!!!Anatafutwa mtu hapa ohooo Mara chumbani kufunua makabati badala ya kuona vikombe unakuta kisukumio cha chapati lahaulaaa hahahaah hatari tupu
Ulikuwa Operation ipi?πID PICTURE UMENIKUMBUSHA JINO MOJA MSWAKI WA NINI ENZI IZO JKT
Wa Mirambo na Mkwawa mbona umecheka sana?π[emoji23][emoji23][emoji23]Hahaha
miaka 50 ya uhuru kama sikosehi ni juz juz 2013Ulikuwa Operation ipi?π
Anza kutupia pics zako ukiwa umetupia kama unaelekea vibweta vya nakutunuku kumfuata bae....acha kujizeesha watazidi kukuita meWa Mirambo na Mkwawa mbona umecheka sana?π
hahahahaha au nitupie kama naingia library, tehe tehe tehe.Anza kutupia pics zako ukiwa umetupia kama unaelekea vibweta vya nakutunuku kumfuata bae....acha kujizeesha watazidi kukuita me