Mxeeeew muonee vile unajishaua weyeeeEbu ishia hapo usifunguke sana[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji119] [emoji119] [emoji119]
Kwa kweliKufuli lisipotumiwa muda mrefu huwa linashika kutu kwenye ile tundu la funguo[emoji16]
Hongera sana.
Sent using Jamii Forums mobile app
My hizi tabia umeanza lini??[emoji23][emoji23][emoji23]Nimeamua ndotoni ili nifiche aibu[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Hata sijui my[emoji85] [emoji85] [emoji85]My hizi tabia umeanza lini??[emoji23][emoji23][emoji23]
Wewe tena sitak kabisa hata kwa bureeeeMi kesho naenda kutungua wawili kwa mkupuo kama vipi nikuongeze kwenye list muwe watatu.
[emoji116] [emoji116] [emoji116] [emoji116] [emoji116] [emoji116] [emoji116] [emoji116]
Kesho mechi moja ndani ya viwanja viwili tofauti. - JamiiForums
Sent using Jamii Forums mobile app
Mwanaume hutakiwi kuwa mbea wewe unaangali hiyo NASA channel huku umeingia kufanya nn? Na hiyo NASA ni project ya serikali ya marekani, iambie serikali ya Tanzania ianzishe. Hafu nikwambie mapenzi huku Tz tunaongea tu huko USA ndo watu wanayafanya na hawayalalamikiiDah...
Naangalia chanell ya NASA hapa, kweli wazungu wametuacha mbali sana...
Yaani wakuda wapo nje ya dunia ISS, wanafanya mahojiano ya na kituo cha NASA,
Kweli bongo bahati mbaya
Nakuja andaa savvana zanguu 10Bina njoo kaunta hapa
Sent from my ONE TOUCH 4033D using Tapatalk
Hawanipati ng'otiisawa endelea kumwagia maji ya moto. Ila umefanya vibaya kutangaza kama jamaa kaenda masomoni maana ma x wataona fulsa hiyo
My itabidi tukufanyie maombi[emoji23][emoji23].Hata sijui my[emoji85] [emoji85] [emoji85]
Hahaha njoo livee basi ile mitaaa yetuuuNimeamua ndotoni ili nifiche aibu[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Umemreplace na kapicha kavera sidika mkuuNo wanders ,Mimi tangu mke wangu aende kwao kujifungua huu ni mwezi Wa tano sasa sijakutana na mwanamke kimwili.vipi kuhusu mwezi 1?
Sent using Jamii Forums mobile app
Ndo ushangae na wee ameanza lini ati[emoji23][emoji23][emoji23]?Yaani nimebaki nashangaa,tangu lini Mwifwa akawa popobawa?[emoji23][emoji23][emoji23]
Poleee sana google tu mapichaDah...uzi bila mapichapicha..... sie vilaza huwa tunapata tabu sana kuuelewa 😛