Mimi dereva natafuta Bajaji ya Mkata

Mimi dereva natafuta Bajaji ya Mkata

Kizimbuzi

JF-Expert Member
Joined
Jul 31, 2013
Posts
1,569
Reaction score
745
Natafuta bajaji ya kuendesha kwa mkataba. Hesabu kwa Siku 20,000/=. Namba yangu 0713695147. Nipo Madale, Dar es Salaam. Kama una bajaji tuwasilian
 
Yani hesabu kwa wiki umpelekee bosi 20000 dah hongerana sana utafanikiwa
 
Natafuta bajaji ya kuendesha kwa mkataba. Hesabu kwa wiki Ni 20,000/=. Namba yangu 0713695147. Nipo Madale, Dar es Salaam. Kama una bajaji tuwasiliane
Bajaj ama pikipiki unayoizungumzia kuleta hesabu iyo
 
Hesabu kwa SIKU elfu 20. Mwenye bajaji tuwasiliane wadau
 
Baada ya mwaka bajaji inakuwa yako au, 20,000 ni hasara kwa tajiri, fanya 30,000 kwa siku km utaweza


Baada ya mwaka haitakuwa yangu ila kama utataka iwe hivyo sawa. Elfu 30 kwa hali ya sasa Ni ngumu labda 25 mkuu maana hali imebadilika sana
 
Mkuu upo serious kweli wewe na hiyo hesabu yako? Bajaj ukisema ya mkataba na umesema wa mwaka mmoja ina maana baada ya mwaka bajaj inakuwa ya kwako sasa tutumie hesabu rahisi tu za chekechea mkuu, kwa 20,000/- kwa mwaka mmoja ni 7,300,000/= na hapo nimeweka siku 365 zote! Ina maana hakuna hata siku mija utayeyusha kulipa hela ya tajiri. Sasa kwa Bajaj manunuzi yake hadi iingie barabarani sh 7,200,000/=, service ya kuanzia (Kupaka vikombe Greece) 40,000/=, kununua na kufunga pazia 60,000/=, kutengeneza mlango wa mbao 20,000/=, kulipa bima 141,600/=, kulipa sumatra 32,000/=, TRA awamu ya kwanza 30,000/=, Jumla hadi chombo iwe barabarani wakukabidhi ni 7,523,600/=

Sasa mkuu nitoe 7,523,600/= kisha nikukabidhi alafu baada ya mwaka unanipa 7,300,000/= kweli mkuu? Tena hapo nime assume utatoa kila siku kuanzia jumapili hadi jumapili!
 
Mkuu upo serious kweli wewe na hiyo hesabu yako? Bajaj ukisema ya mkataba na umesema wa mwaka mmoja ina maana baada ya mwaka bajaj inakuwa ya kwako sasa tutumie hesabu rahisi tu za chekechea mkuu, kwa 20,000/- kwa mwaka mmoja ni 7,300,000/= na hapo nimeweka siku 365 zote! Ina maana hakuna hata siku mija utayeyusha kulipa hela ya tajiri. Sasa kwa Bajaj manunuzi yake hadi iingie barabarani sh 7,200,000/=, service ya kuanzia (Kupaka vikombe Greece) 40,000/=, kununua na kufunga pazia 60,000/=, kutengeneza mlango wa mbao 20,000/=, kulipa bima 141,600/=, kulipa sumatra 32,000/=, TRA awamu ya kwanza 30,000/=, Jumla hadi chombo iwe barabarani wakukabidhi ni 7,523,600/=

Sasa mkuu nitoe 7,523,600/= kisha nikukabidhi alafu baada ya mwaka unanipa 7,300,000/= kweli mkuu? Tena hapo nime assume utatoa kila siku kuanzia jumapili hadi jumapili!

Nipigie. 0713695147.Kama una bajaji nitafute tuzungumze
 
Ninahitaji bajaji. Nina vigezo na offer yangu. Kama mtu hajapendezwa na offer yangu majadilino yapo.

Nipo serious. Kwa aliye seriously anitafute tayajenge
 
Ww ungekua una bajaj ungeweza itoa kwa elfu 20? Acha dharau na vyombo vya watu
Ninahitaji bajaji. Nina vigezo na offer yangu. Kama mtu hajapendezwa na offer yangu majadilino yapo.

Nipo serious. Kwa aliye seriously anitafute tayajenge

Au mnasemaje mods
 
Mkuu upo serious kweli wewe na hiyo hesabu yako? Bajaj ukisema ya mkataba na umesema wa mwaka mmoja ina maana baada ya mwaka bajaj inakuwa ya kwako sasa tutumie hesabu rahisi tu za chekechea mkuu, kwa 20,000/- kwa mwaka mmoja ni 7,300,000/= na hapo nimeweka siku 365 zote! Ina maana hakuna hata siku mija utayeyusha kulipa hela ya tajiri. Sasa kwa Bajaj manunuzi yake hadi iingie barabarani sh 7,200,000/=, service ya kuanzia (Kupaka vikombe Greece) 40,000/=, kununua na kufunga pazia 60,000/=, kutengeneza mlango wa mbao 20,000/=, kulipa bima 141,600/=, kulipa sumatra 32,000/=, TRA awamu ya kwanza 30,000/=, Jumla hadi chombo iwe barabarani wakukabidhi ni 7,523,600/=

Sasa mkuu nitoe 7,523,600/= kisha nikukabidhi alafu baada ya mwaka unanipa 7,300,000/= kweli mkuu? Tena hapo nime assume utatoa kila siku kuanzia jumapili hadi jumapili!
Hata mimi nilitaka kushangaa!!! Kwa hesabu hizo huwa ni mkataba wa miaka miwili. Ndio inakuwa mali yake.
 
Ww ungekua una bajaj ungeweza itoa kwa elfu 20? Acha dharau na vyombo vya watu

Au mnasemaje mods


Kama una bajaji na unahitaji dereva tuzungumze. Wewe unataka Bei gani?

Siyo kwamba ninadharau. Kuna tajiri wanachukua elfu 20, 25, 30, na 35. Wewe unataka ngapi?
 
Kama mtu upo serious tuyajenge. Sina nia ya kumkera mtu. Ninataka nifanye kazi. By the way, mwishoni kabisa Ni lazima tusaini makubaliano miaka miwili, mmoja au vyovyote tutakavyokubaliana.

Mtu kuniambia sijui ningekuwa na bajaji ningefanyaje, Hilo siyo lengo. Maana ningekuwa nayo nisingekuja hapa kuulizia.

Ninaheshimu mawazo ila sitaki kuumkwaza mtu.

Kama una bajaji namba yangu hi hapa. 0713695147.

Tutafutane tuweke makubaliano
 
Back
Top Bottom