Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Vipi, wateja wameanza kupatikana?Kuna dada nimevunja nae mahusiano ya kimapenzi ila nae kaamua kulipiza kisasi kwa kuchapisha mabango na kuweka namba yangu ya simu kwa chini akisema ni mganga toka sumbawanga anayetibu nguvu za kiume na kuangamiza wachawi.Nifanyeje?
Kama nia si uchekeshaji basi fata huu ushauri.weka call waiting halafu weka namba yake
wakipiga tu wanaunganishwa juu kwa juu
Call waiting au call forwarding??weka call waiting halafu weka namba yake
wakipiga tu wanaunganishwa juu kwa juu
Ni fursa itumie vema ili kazi iendelee ...Kuna dada nimevunja nae mahusiano ya kimapenzi ila nae kaamua kulipiza kisasi kwa kuchapisha mabango na kuweka namba yangu ya simu kwa chini akisema ni mganga toka sumbawanga anayetibu nguvu za kiume na kuangamiza wachawi.Nifanyeje?
Akili kubwa hiiweka call waiting halafu weka namba yake
wakipiga tu wanaunganishwa juu kwa juu