FrankLutazamba
JF-Expert Member
- Aug 9, 2018
- 448
- 409
Jamani mwenzenu nimekulia airport-tabora na tulikuwa tunaendea vhombo vya kuchezea vilivyotoka kwenye Ndege ila cha ajabu ni muoga kupanda Ndege sijui kwanini,huwa najiuliza ikipatikana fursa kwenda nje sijui itakuwaje,ikiwemo na meli,wenzangu mliozoea nitoeni hofu...
Niite mlokozi
Niite mlokozi